Yanga imepangwa kind gum kimataifa,yaan had inatoa date nyumban

Wana Yangu oyeeee!!
Inatakiwa mlalamike jaman,maana umepangwa kind gum mno
Jana mlopocheza na clab ya Al shabab mlitoa sare
Polen sana
Karbun
 
Yaani huyu Jamaa sijui hajui kuandika vizuri... Lakini anachokusudia kwenye Uzi wake huwa namuelewa sana..![emoji16]
 
Wana Yangu oyeeee!!
Inatakiwa mlalamike jaman,maana umepangwa kind gum mno
Jana mlopocheza na clab ya Al shabab mlitoa sare
Polen sana
🀣🀣🀣🀣 wanapita kimya kimyaaaa
 
Basi Kama Imewauma Tuwape Nyie Ile Ngao Ya Jamii Maana Ni Kama Mnataka Kutupangia Cha Kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…