boy lanugo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 290
- 272
Katika makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga SC ya Tanzania imepangwa katika Kundi D pamoja na na Rayon Sports (Rwanda), U.S.M Alger (Algeria) na Gor Mahia (Kenya).
Yanga ilifuzu hatua ya makundi baada ya kuiondoa Welatya Dicha ya Ethiopia kwa magoli 2-1.
Kwa timu hizi ninahakika yanga ikiamua hatua ya robo fainali inawahusu..
======
Wawakilishi pekee wa Tanzania timu ya Yanga imepangwa kundi D katika Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika safari hii itakutana na timu mbili ambazo zipo katika ukanda wa CECAFA pamoja na USM Alger kutoka nchini Algeria.
Kila timu kwenye kundi itacheza mechi 6 ikiwa mechi 3 nyumbani na mechi 3 ugenini Mechi za makundi ya Caf Confederation cup zitachezwa
Mechi ya kwanza May 4-6
Mechi ya Pili May 15-16
Mechi ya tatu July 17-18
Mechi ya nne July 27-29
Mechi ya tano August 17-19
Mechi ya sita August 28-29
KUNDI A
1-Asec Mimosas (Ivory Coast)
2-Raja Casablanca (Morocco)
3-AS Vita Club (DRC Congo)
4-Aduana Stars (Ghana)
KUNDI B
1-RS Berkane (Morocco)
2-Al Masry (Egypy)
3-UD Songo (Mozambique)
4-Al Hilal (Sudan)
KUNDI C
1-Enyimba (Nigeria)
2-Williamsville (Ivory Coast)
3-CARA brazavile (Congo)
4-Djoliba (Mali)
KUNDI D
1-USM Alger (Algeria)
2-Yanga Sc (Tanzania)
3-Rayon Sports (Rwanda)
4-Gor Mahia (Kenya)
Yanga ilifuzu hatua ya makundi baada ya kuiondoa Welatya Dicha ya Ethiopia kwa magoli 2-1.
Kwa timu hizi ninahakika yanga ikiamua hatua ya robo fainali inawahusu..
======
Wawakilishi pekee wa Tanzania timu ya Yanga imepangwa kundi D katika Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika safari hii itakutana na timu mbili ambazo zipo katika ukanda wa CECAFA pamoja na USM Alger kutoka nchini Algeria.
Kila timu kwenye kundi itacheza mechi 6 ikiwa mechi 3 nyumbani na mechi 3 ugenini Mechi za makundi ya Caf Confederation cup zitachezwa
Mechi ya kwanza May 4-6
Mechi ya Pili May 15-16
Mechi ya tatu July 17-18
Mechi ya nne July 27-29
Mechi ya tano August 17-19
Mechi ya sita August 28-29
KUNDI A
1-Asec Mimosas (Ivory Coast)
2-Raja Casablanca (Morocco)
3-AS Vita Club (DRC Congo)
4-Aduana Stars (Ghana)
KUNDI B
1-RS Berkane (Morocco)
2-Al Masry (Egypy)
3-UD Songo (Mozambique)
4-Al Hilal (Sudan)
KUNDI C
1-Enyimba (Nigeria)
2-Williamsville (Ivory Coast)
3-CARA brazavile (Congo)
4-Djoliba (Mali)
KUNDI D
1-USM Alger (Algeria)
2-Yanga Sc (Tanzania)
3-Rayon Sports (Rwanda)
4-Gor Mahia (Kenya)