Unaakili Sana jamaaTatizo la utopolo ni wanachama wake wengi akili ndogo sana.Sijui kuna uhusiano gani kati ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri na rangi za kijani na njano!
Yaani wanaamini wachezaji wao ni wa kiwango cha juu mno,ila TFF tu ndio inawahujumu.
Kesho utasikia analaumiwa Rais wa TFF
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unawasaidiaje sasa, maana maneno matupu hayawasaidiiMnafukuza kocha katikati ya msimu mnajidai Barcelona, badala msubiri wachezaji majeruhi wapone waungane na timu nyie mkasubiri wapone then mkafukuza kocha, tulieni sasa sindano ziingie.
Kweli kbs wamewekeza kwenye magazeti na redio badala ya ufundiWenzao wanawekeza kwenye benchi la ufundi na wachezaji bora wao wamekalia kuwekeza kwa waandishi wa habari na marefarii