Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Naangalia mechi ya Yanga dhidi ya KMC dah kwakweli timu ya Yanga inatia hadi aibu yaani wachezaji kupiga pass hawawezi, kukontroo mpira hawawezi, kutengeneza nafasi hawawezi wanaishia kubebwa na mwamuzi tu kwa mchezo wa kujiangusha angusha.
Hivi kweli ndio akili ya viongozi wa Yanga ndio akili zenu zilipoishia hapo? Unafuka benchi la ufundi halafu hakuna cha maana.
Hivi kweli ndio akili ya viongozi wa Yanga ndio akili zenu zilipoishia hapo? Unafuka benchi la ufundi halafu hakuna cha maana.