Yanga imetumia kanuni gani kuingilia geti la mashabiki?

Yanga imetumia kanuni gani kuingilia geti la mashabiki?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
186464348_1986575428148402_2650608716715930471_n.jpg

Hii timu inaendeshwa kwa imani za kishirikina sana, kama ndondo tu. Sasa unajiuliza hii ndio timu iliyosimamia kanuni mpaka ikagoma kuingiza timu dhidi ya Simba kikanuni. Uko wapi msimamo wa kuzingatia kanuni.

Wachambuzi takataka nao wako kimya kuikemea hii timu ambayo ni kioo chakavu kwa timu chipukizi. Fikira Simba ingefanya haya,hii ingekuwa wiki ya povu tu
 
Ndo matokeo ya kuwa na Viongozi wasiojielewa matokeo yake ndo haya, hawajulikani wanasimamia jambo gani.

Tuliwaambia hapa kuwa Uto hawana lolote zaidi ya kuwaza kuroga tu, na sioni ajabu kufanya hili kwasababu hata game waliokataa, zingine walikubali ikiwemo ya Biashara Utd.

Halafu kuna watu wanasema eti Yanga wapo sahihi, basi watuambie na hili la kuingia mlango wa mashabiki wapo sawa? Na kanuni ipi?
 
Mambo ya kijinga kabisa hizi team zetu sijui tutabadilika lini. Sasa unanunua wachezaji kwa gharama kubwa na makocha wa nje wa nini ikiwa mna kocha wengi mwingine anawafanyia kazi gizani.

Haya mambo yanatakiwa kupigwa fine kubwa sana na kukatwa point kukomesha hizi tabia za kijinga na siongelei Yanga tu team yoyote haifuati sheria na kuingiza imani za kijinga mchezoni kwanza pokonya point 3 bila mjadala pili piga fine ya kisawasawa.

Tukomeshee ujinga huu. Utakuta wanaenda kuroga Zenji mbona hao Zenji tu mpira unawashinda mara Rukwa mbona hawana team huko upumbavu.
 
Kwenye uzi huu sijaona watu wakisema tumeonewa, Karia ajiuzuru.
Safari hii mmeingia kwenye anga za TFF kufuata kanuni.

KIMEUMANA kwa wazee wa mihemko. Mkijifanya kusimamia kanuni, basi mzifuate kanuni zote.

Nawakumbusha pia kanuni ya 53-6 inahusu kwenda kuwapokea Kaiza Chips
 
Kwenye uzi huu sijaona watu wakisema tumeonewa, Karia ajiuzuru.
Safari hii mmeingia kwenye anga za TFF kufuata kanuni.

KIMEUMANA kwa wazee wa mihemko. Mkijifanya kusimamia kanuni, basi mzifuate kanuni zote.

Nawakumbusha pia kanuni ya 53-6 inahusu kwenda kuwapokea Kaiza Chips
Kila mtu na timing yake,kwa hili TFF kafanya yake but ikifika zamu ya Yanga msije kulalama hapa kwanini hawajatumia busara.
 
Back
Top Bottom