Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwa Haji kuitwa hivyo anastahili.amekuwa akikejeli wengine kwa maumbile yao. Mf kumwita Mwakalabela kilo 800Ungeweza kuandika mengine ikiwemo ukosoaji na utani, lakini kukejeli kilema cha albino ngozi yake kutokuwa na uwezo wa kuhimili mionzi ya jua ni Uzuzu. Wewe ni Zuzu tu Jemadari, na Mungu atakujibu Kwa maombi yako haya.
Mnapenda kuonekana mnaigwa hivyo vi spika nyie ndio wa kwanza kuvitumia? wanao sajiri line na wauza sumu za panya hawawahi kuwepo?Wanasema wao hawashiki vispika, sio levo yao, wao hawapiti mitaani kuomba mashabiki kwenda uwanjani, lkn tumeona wakitumia mbinu mpya ya kuujaza uwanja, ambayo ni kuwafuata jangwani, stendi ya mbezi na kule mbagala na kugawa tiketi za bure.
Simba baba lao jamani, nyie mmefanya kile kile wanachofanya Simba, kuwafuata mashabiki walipo, kazi hiyo ashura haiwezi kwa sababu jua kali, yeye na jua ni kama polisi na kibaka.
Hongereni Simba kwa kuwafundisha Yanga namna ya kuhamasisha.
Yani hii hoja imedhihirisha uto wote (kasoro watu wawili tuu) hamna akiliMnapenda kuonekana mnaigwa hivyo vi spika nyie ndio wa kwanza kuvitumia? wanao sajiri line na wauza sumu za panya hawawahi kuwepo?
Nitatetea udhalilishaji dhidi ya walemavu wengine wote duniani ila sio kwa HAJI, jiulize hayo ambayo hutaki afanyiwe yeye hayafanyi kwa wenzake?Ungeweza kuandika mengine ikiwemo ukosoaji na utani, lakini kukejeli kilema cha albino ngozi yake kutokuwa na uwezo wa kuhimili mionzi ya jua ni Uzuzu. Wewe ni Zuzu tu Jemadari, na Mungu atakujibu Kwa maombi yako haya.
Inakuuma?Yani hii hoja imedhihirisha uto wote (kasoro watu wawili tuu) hamna akili
Hapa mlipigwa kavu au na condom?SASA AL HILAL WAMEKUJA NA CONDOM ZA NN JAMAN[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Wewe bata rudi shule fasta.Simba is football university of Tanzania
Umeshasema wauza bidhaa..tunaongelea bidhaa ya mpira..mmeiga hamna ubunifuMnapenda kuonekana mnaigwa hivyo vi spika nyie ndio wa kwanza kuvitumia? wanao sajiri line na wauza sumu za panya hawawahi kuwepo?
Acha wivu,itakapoondoka na mipira miwili utasema je🤸Wanasema wao hawashiki vispika, sio levo yao, wao hawapiti mitaani kuomba mashabiki kwenda uwanjani, lkn tumeona wakitumia...
hahahahhq hebu ngoja kwanza, wamekuja nazo ngapi??? mkuu nitonyeeSASA AL HILAL WAMEKUJA NA CONDOM ZA NN JAMAN[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]