Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wapigaji wamerudi
Tutajie majina ya bodi ya wadhamini ya Simba tukufunguwe macho maana upo gizani.
Ficha upumbavu wako, ujuwaji mwingi kumbe hujui lolote.Tunatukuza sana wanasiasa. Hata misibani akitokea mwanasiasa tunasema Bw. Fulani Mkuu wa Mkoa ameongoza msiba. Tunadhani the only capable, inteligent and dignified people ni wanasiasa.
Sasa Waziri wa Fedha ana muda gani wa kushughulika na Yanga zaidi ya kukuza umaarufu wake na sisi tunamkubali tu kama majuha kwa sababu ya name recognition yake japo ni very unpopular.
Fatma Karume ametetea mkataba wa Bandari ambao ni very unpopular kwenye jamii lakini hajawa tarnished. Vichwa vya samaki vya jamii hii.
Vijana hao wanajitia ujuaji mwingi wakati ni empty set.Ficha upumbavu wako, ujuwaji mwingi kumbe hujui lolote.
Kwanza uelewe kazi ya bodi kabla ya kuandika huu ushuzi wako, bodi ya wadhamini si watendaji wa shughuri za kila siku za Yanga, hiyo ni kazi ya Rais Hersi na Kamati yake ya utendaji.
Simpendi Mwigulu kisiasa, lakini Ki mpira Mwigulu ndio aliwapa Yanga Fei Toto bure kama Zawadi yake kwa Yanga kutoka Singida United wakati Yanga ilikuwa inachangisha bakuli haina kitu.
Halafu hapo kwa Fatma Karume ndio umeonesha wazi wewe ni kizazi cha dot com kilichojaa mihemko hujui lolote, Shangazi ni Mjukuu.
Kama humjui Mrs Karume, basi huyu ndio Fatma Karume first lady wa Rais wa kwanza wa Zanzibar.
Mwigulu ametoa zawadi ya binadamu, Mwigulu alikuwa anamiliki Singida United ? Na anammiliki Feti Toto kama kiatu ?Ficha upumbavu wako, ujuwaji mwingi kumbe hujui lolote.
Kwanza uelewe kazi ya bodi kabla ya kuandika huu ushuzi wako, bodi ya wadhamini si watendaji wa shughuri za kila siku za Yanga, hiyo ni kazi ya Rais Hersi na Kamati yake ya utendaji.
Simpendi Mwigulu kisiasa, lakini Ki mpira Mwigulu ndio aliwapa Yanga Fei Toto bure kama Zawadi yake kwa Yanga kutoka Singida United wakati Yanga ilikuwa inachangisha bakuli haina kitu.
Halafu hapo kwa Fatma Karume ndio umeonesha wazi wewe ni kizazi cha dot com kilichojaa mihemko hujui lolote, Shangazi ni Mjukuu.
Kama humjui Mrs Karume, basi huyu ndio Fatma Karume first lady wa Rais wa kwanza wa Zanzibar.
Tajiri mmoja anayewazidi hao wengi kwa mbaaali sana. Ijumaa katoka kupokea tuzo ya The African Industrialist of the Year. Nyie mnayo hiyo tuzo?Yanga Matajiri ni wengi sana ,Thimba wana tajiri mmoja tu SAUTI YA NG'OMBE.
Hao unaowaona wamechaguliwa hapo wameanza kuidhamini yanga kabla hata wewe ujazaliwa, hapo tukikuuliza wewe unaichangia nini yanga ili ipate mapato yake unaweza usitaje hata kimojaMwigulu ametoa zawadi ya binadamu, Mwigulu alikuwa anamiliki Singida United ? Na anammiliki Feti Toto kama kiatu ?
Fatma Karume, for all we know, ni mwanasheria binafsi kutoka Zanzibar aliyetetea mkataba wa kuuzwa bandari ya Tanganyika. Kama mke wa Abedi Karume nae ni Fatma then that's even worse. Yule bibi anafanya fanyaje kazi hii? Inaonyesha hawako serious, wamechagua watu wenye majina ya kisiasa.
Unatumia avatar ya PhD wakati upeo wa kufikiri mdogo ? PhD gani inaongea kwa mitusi ???
Tajiri mmoja anayewazidi hao wengi kwa mbaaali sana. Ijumaa katika kupokea tuzo ya The African Industrialist of the Year. Nyie mnayo hiyo tuzo?
Una uhakika matajiri wa Yanga siyo wapigaji?Mpigaji Tapeli kama kina Papaa Musofe.
Una uhakika matajiri wa Yanga siyo wapigaji?
Hakuna Shortcut katika kufanikiwa,na lazma tubadilike, tuishi Kiuhalisia na tuache porojo,Washabiki wetu wa leo sio wajinga wajinga na wamebahatika kuishi kwenye dunia ya teknolojia na mitandao ya kijamii!!Una uhakika matajiri wa Yanga siyo wapigaji?
Unachanganya kudhamini na kuchangia, masikini ya Mungu... Mdhamini sio mfadhili...Hao unaowaona wamechaguliwa hapo wameanza kuidhamini yanga kabla hata wewe ujazaliwa, hapo tukikuuliza wewe unaichangia nini yanga ili ipate mapato yake unaweza usitaje hata kimoja
Bajeti ya Yanga wanatarajia kutumia Billion 20 msimu ujao, halafu Mwamedi kainunuwa Simba kimaandishi ( siyo cash) kwa Billion 20, hapa kwa mwenye akili unaona wazi kabisa Mwamedi ni tapeli tu.Nazunguzia utapeli kwenye Timu ,Sauti ya Ng'ombe ni Janja janja haweki mzigo kwenye timu ,anaulizwa 20B aliweka kwenye account gani mpaka leo hajawahi kujibu.....Yanga inajiendesha kifaidia tu Maokoto kama Yote means Matajri hawana Mbambamba wanadumbukiza mzigo tu bila wasiwasi.