Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

Simba walifikiria kwa kichwa au nn hadi wakati fulani Mwijaku eti awe msemaji wa Simba? 😤😤😤😤
 
Kati ya hao hakuna mwenye sifa ya uadilifu isipokuwa no. 1 kwa sababu ya uzee. Nchi hii bado tunatukuza mafisadi
Tunatukuza sana wanasiasa. Hata misibani akitokea mwanasiasa tunasema Bw. Fulani Mkuu wa Mkoa ameongoza msiba. Tunadhani the only capable, inteligent and dignified people ni wanasiasa.

Sasa Waziri wa Fedha ana muda gani wa kushughulika na Yanga zaidi ya kukuza umaarufu wake na sisi tunamkubali tu kama majuha kwa sababu ya name recognition yake japo ni very unpopular.

Fatma Karume ametetea mkataba wa Bandari ambao ni very unpopular kwenye jamii lakini hajawa tarnished. Vichwa vya samaki vya jamii hii.
 
Back
Top Bottom