Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

JF imejaa wajinga wengi, Karume ndiye aliyetowa pesa za Kujenga makao makuu ya Jangwani na makao makuu ya Simba Msimbazi.

Muwe mnauliza vitu ambavyo hamvijui.

Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu.
Fatma karume au mama ake na Fatma mkuu

Dr mwandamizi
 
Simba ni timu ya serikali pia, Sunderland iliporwa na serikali uikapewa jina la Kawawa Simba wa vita.

Uliza uambiwe, jiulize kwa nini Dewji ana makampuni zaidi ya 100 lakini mchakato wa kuimiliki Simba umeshindikana?
Hajui hata ktk Simba bodi imejaa wabunge wa ccm
 
Fatma Karume
 

Attachments

  • Screenshot_2023-06-24-16-18-22-10.png
    Screenshot_2023-06-24-16-18-22-10.png
    286.6 KB · Views: 2
Yanga Ina Kila kitu mkuu hata madem wa yanga ni wakali balaaa. Shoo zetu wanayanga kitandani hazifananishwi na kenge yoyote yule. Yanga bot pale wadau kama wote. Hatuna idadi kubwa ya wasaka ajira na wasiokuwa na kazi. Ndo mana mitandaoni hutuoni sana kuchangia changia
Na wewe ni demu?
 
pia yule wakili ni fatuma karume haya majina yao yanaleta sintofahamu sana nadhani yanatenganishwa na 'BI'
Sintofahamu ni kwako tu si kwa watu wa Yanga au watu wa mpira.

Mrs Karume yupo bodi ya wadhamini ya Yanga kitambo, si kwamba ndio uteuzi wake wa kwanza huu.

Kuna mashabiki wa Simba wengi tu hawajui kama Karume ndiye aliyetowa pesa za Kujenga makao makuu ya Simba Msimbazi kwa heshima ya Kawawa Simba wa Vita na ndio mwenye timu yake.
 
Sasa Kitale na Mwigulu nani mwenye afadhali?

Hili ni swala la kujivunia nalo?
 
Back
Top Bottom