Yanga inaenda kutoa ubingwa wa AFRICA

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Leo ni tarehe 7 thursday november 2024,yanga imefungwa mfululizo na Azam na Tabora,hii ni mzuri sana kwa watu wanaojua mpira hii inaitwa the calls,hii itawafanya Yanga wakae sawa kuangalia timu yao wapi panapovuja,

Nakuambia hivi the next Yanga baada ya haya matokeo itakuwa Yanga ya hatari sana,nafurahia Yanga kufungwa hata sijaumia kwa chochote maana najua wakati mnzuri mnakuja wa kufurahia ubingwa wa AFRICA'nyie itukaneni ipondeni,tukana wachezaji wote mpaka benchi la ufundi ipeni kashifa za kuzusha eti wanachomwa shindano,ila nawahakikishia leo hii Yanga inaenda kuweka kikao cha kutisha,

Na wanaenda kubadili kiwanja naona Yanga inaenda kuchukua kiwanja cha zanzibar kama kiwanja cha nyumbani,na hawatatumia kiwanja cha azam tena.

Yanga bingwa mpya wa AFRICAπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Hongereni sana.
 
Ikawe hivyo mkuu..

NB:Watu hawachelewi kufufua uzi
 
Nimeishia kucheka tu mwenyewe
 
Reactions: Tui
CAF wawapime Yanga kabla na baada ya mechi
 
Reactions: Tui
Baba Bombastic umesema kweli ! hii itasaidia sana Yanga kukaa sawa !
 
But it feels one-sided now
 

Attachments

  • Screenshot_20241108-120224_1.jpg
    260.6 KB · Views: 2
Reactions: Tui
Nawasihi wafanya biashara wa kamba sumu ya panya na sumu zingine zote msikubali kumuuzia huyu mleta mada bidhaa nilizotaja.
Jamaa akili zimeruka na ni hatari kwa usalama wake na wote walio karibu naye.Msogeleeni kwa tahadhari kubwa.
 
Leo ni tarehe 7 thursday november 2024,yanga imefungwa mfululizo na Azam na Tabora,hii ni mzuri sana kwa watu wanaojua mpira hii inaitwa the calls,hii itawafanya Yanga wakae sawa kuangalia timu yao wapi panapovuja,

Hata baada ya kufungwa na Azam, tuliambiwa hivi hivi kama unavyosema, uzi huu hapa chini:

 
Subiria ianguke kabisa bossi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…