Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
SAIDJR ANAFUNGAUle upepo wa kisulisuli leo unaanzia kwa vijana wa mbao na leo ni posa inatolewa. Jumapili wataolewa bila dalili yoyote na pyramids.
HADITHI IMEISHA TUSUBIRI MATOKEO.
Kwa kuwa mmeamua kuloga badala ya kucheza mpira leo vyuramid lazima mfungwe na mbao fc.
tupo tunasubiri mtu afungwe tatu bila na jumapili ni sita bila.
Tuloge kwani tumekuwa walozi kama Mikia?Kwa kuwa mmeamua kuloga badala ya kucheza mpira leo vyuramid lazima mfungwe na mbao fc.
tupo tunasubiri mtu afungwe tatu bila na jumapili ni sita bila.
Kweli mchawi hatoki mbali na huenda ni ndugu yako kabisa, ndyo wewe sasa, Kila rakheri Yanga daima mbele nyuma mwikooo, piga Timbers haoo.
Kisulisuli kilianza na kimbunga Idai toka Msumbuji. Kikawaleta wamakonde wa UD Songo wakamwoa paka shume wa MsimbaziUle upepo wa kisulisuli leo unaanzia kwa vijana wa mbao na leo ni posa inatolewa. Jumapili wataolewa bila dalili yoyote na pyramids.
HADITHI IMEISHA TUSUBIRI MATOKEO.
Achana na huyo mshabiki maandazi, hana ushabiki wowote zaidi chukiMbona unakimbia Uzi wako we Mbumbumbu?
Yaaani, wataambia nini watu [emoji3] [emoji3] ,babe wangu mambo!Baby hawa wamatopeni wanaweweseka na nyuzi zao hizi
Ametelekeza uzii, mbao fanMbona unakimbia Uzi wako we Mbumbumbu?
Ndiyo, arudi hapa atetee kwa hoja Uzi wakeAmetelekeza uzii, mbao fan
Baby mwenye uzi kapanga kwenye uzi mwingine? Mbona humu simuoni tena.Yaaani, wataambia nini watu [emoji3] [emoji3] ,babe wangu mambo!