Yanga inahitaji ipate mtu kama Mayele, Simba Ina hitaji impate kama nani?

Yanga inahitaji ipate mtu kama Mayele, Simba Ina hitaji impate kama nani?

liganga4

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
293
Reaction score
195
Kumekuwa na maneno kutoka kwa wachambuzi na wdau mbalimbali wakidai kuwa yanga Ili itoboe kwenye makundi nilazima wapate mtu kama Mayele, vipi kuhusu mahasimu wao Simba?
 
Kumekuwa na maneno kutoka kwa wachambuzi na wdau mbalimbali wakidai kuwa yanga Ili itoboe kwenye makundi nilazima wapate mtu kama Mayele, vipi kuhusu mahasimu wao Simba?
Mikia wanatakiww wampate Kilomoni......
 
Tangu November 5 hadi leo simba amecheza mechi 5 bila kushinda yoyote.Amefunga goli 4 amefungwa goli 8, katika hizo 8 goli 5 alifungwa na timu kiboko ya mabishoo Club Le Athletic Internationale Dar es Salaam Young Africans.
 
Kumekuwa na maneno kutoka kwa wachambuzi na wdau mbalimbali wakidai kuwa yanga Ili itoboe kwenye makundi nilazima wapate mtu kama Mayele, vipi kuhusu mahasimu wao Simba?
miso misondo...
 
Tangu November 5 hadi leo simba amecheza mechi 5 bila kushinda yoyote.Amefunga goli 4 amefungwa goli 8, katika hizo 8 goli 5 alifungwa na timu kiboko ya mabishoo Club Le Athletic Internationale Dar es Salaam Young Africans.
Aseeee
 
Tangu November 5 hadi leo simba amecheza mechi 5 bila kushinda yoyote.Amefunga goli 4 amefungwa goli 8, katika hizo 8 goli 5 alifungwa na timu kiboko ya mabishoo Club Le Athletic Internationale Dar es Salaam Young Africans.
Simba hatuna wafungaji,tuna wathenge watupu
 
Back
Top Bottom