Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Inajulikana kuwa Noel Mwandila amekuwa ni msaidizi wa George Lwandamina kwa muda mrefu,na iliwahi kusemwa Chicken hupenda kufanya naye jazi...Lwandamina ameshaondoka na inasemekana amerudi kwenye team yake ya zamani(Zesco),hiki Kijamaa kinasubiri nini sasa?,peleka yeye kwa Boss wake,shusha Nsajigwa akafundishe team B,kamilisha upatikanaji wa vibali vya Mwinyi Zahera ili aweze kuanza kazi mara 1 huku mkimtafutia msaidizi kwa haraka.
Kama kuna nafasi ya kusajiri katika hatua hii ya Makundi,Yanga inahitaji Striker mwingine, kama ni Mzawa Adam Salamba wa Lipuli anaweza kuongeza kitu kwa gharama ya kawaida I guess.
Mwanachama mtiifu.
Kama kuna nafasi ya kusajiri katika hatua hii ya Makundi,Yanga inahitaji Striker mwingine, kama ni Mzawa Adam Salamba wa Lipuli anaweza kuongeza kitu kwa gharama ya kawaida I guess.
Mwanachama mtiifu.