Yanga inakosa mtu muhimu wa kukabiliana na mapigo ya Haji Manara

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Huyu afisa habari Wa Simba amebaki anajibiwa na mashabiki mpaka ukiona mashabiki wanavyojibu Hondo zake, ni kama wamepaniki/wamepagawa.
Anaipiga Yanga kwa namna mbalimbali lakini yangu ni kama hawana mtu Wa kukabiliana nae.

Nikikumbuka kipindi cha Jerry Muro nadiriki kusema Bring back our Jeri Muro
 
Jerry Muro ndo kiboko yake huyo Manara

eliamini
 
Huyo bw HM huwa tunamhurumia tu, tunampotezea.
 
Hivi haji manara adhabu yake imeisha au sababu ya uongozi mpya

blame no body
 
Labda Yanga wameamua kuwekeza mguvu zao uwanjani.
 
Yanga imemuajiri mtu makini na nawasifu kwa hilo angalau sasa wana act kama professionals

Simba inabidi kitengo cha habari wamuondoe Manara anaiabisha taasisi

Kama jambo walilolifanya yanga kumuajiri Dickson ninawapa eko pongezi kwao umeona mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umeamua kumtafutia mshikaji wako kazi baada ya kusota muda mrefu akipiga mboyoyo....sio lazima Yanga hata Stand United na Ndanda wqnasaka msemaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliachana na Muro kwa sababu Yanga imevuka steji hiyo. Mbumbumbu fc bakieni na umbumbumbu wenu
 
Yanga ipo more professional idara ya habari. Mipasho kaachiwa Manara ashindane na Bwire.
 
Haji ni maarufu kuliko wachezaji
Haji ni mshabiki maarufu...
Pr bado sana
 
Uliwahi ona wasemaji wa timu za ulaya wakawa hovyo kama akina manara na yule wa ruvu? Usemaji wa timu ni professional kama taaluma nyingi sio mipasho kama muimba taarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…