Huyu afisa habari Wa Simba amebaki anajibiwa na mashabiki mpaka ukiona mashabiki wanavyojibu Hondo zake, ni kama wamepaniki/wamepagawa.
Anaipiga Yanga kwa namna mbalimbali lakini yangu ni kama hawana mtu Wa kukabiliana nae.
Nikikumbuka kipindi cha Jerry Muro nadiriki kusema Bring back our Jeri Muro
Anaipiga Yanga kwa namna mbalimbali lakini yangu ni kama hawana mtu Wa kukabiliana nae.
Nikikumbuka kipindi cha Jerry Muro nadiriki kusema Bring back our Jeri Muro