Yanga inalindwa kama Benki na timu rafiki

Yanga inafaa kuwa chama cha siasa kwani wanaweza sana siasa za mpira na soka la maigizo na tamthilia

Naamini wanasiasa watahusika sana kurudisha maendeleo ya soka nchini.Maana hakuna uwekezaji wa maana kama timu inachoka kisha mnaanzisha kampeni za kuibeba ili kubalance mzani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ni mwendo tu wa kumfukuza mwizi kimya kimya. Maana hakuna namna nyingine. Mpaka mkubali wenyewe kwa hiyari kuwaachia wamiliki, kiti chao!
 
Ni mwendo tu wa kumfukuza mwizi kimya kimya. Maana hakuna namna nyingine. Mpaka mkubali wenyewe kwa hiyari kuwaachia wamiliki, kiti chao!
Kelele zote hizi unadai MNAFUKUZA MWIZI KIMYA KIMYA!!!?
 
Kwani Simba walipofungwa 5-1 na Ynga hiyo hiyo msimu uliopita, walikuwa wanacheza huku wanataka?
Waliosababisha weshalipwa ujira wao kwa kusajiliwa huko.
 
Reactions: Tui
Lipo bench mkuu. Kudaka hadaki, kuuzwa hauzwi.
Kelvin Kijili na yeye alitusaidia kwenye ule ushindi wetu wa mwisho wa 1-0! Halafu na Camara naye alitobolewa na Max kule Zanzibar kwenye nusu fainali ya Kombe la shirikisho CRDB!! Na wenyewe tuwafanyeje?
 
Kelvin Kijili na yeye alitusaidia kwenye ule ushindi wetu wa mwisho wa 1-0! Halafu na Camara naye alitobolewa na Max kule Zanzibar kwenye nusu fainali ya Kombe la shirikisho CRDB!! Na wenyewe tuwafanyeje?
Kijili alijifunga bahati mbaya. Lile la Max goli halali kabisa kama la Kibu D alilomkanda Diara. Tujikite kwenye zile 5 mkuu. Hayo matokeo mengine hayana miujiza.
 
Camara alikuwepo kwenye nusu fainali ya kombe la Shirikisho?.Kuna ugonjwa unaitwa senile.Huwa unaanza taratibu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…