Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakapenat, lini mtaacha kulia lia?View attachment 3188472
Kuna kipa wa Dodoma Jiji hakuwahi kucheza mechi 13 lakini akadakishwa mechi ya Uto. Ila mechi iliyofuata ya Mashujaa kipa namba 1 alirudishwa.
Kwao Dodoma Jiji mechi ya Mashujaa ilikuwa muhimu kuliko ya Yanga
Benchi litamtowa rohoPamoja na Aishi Manula bila shaka! Na yeye pia si ni duka letu la muda mrefu!!
Usijitoe fahamu kuwa hiyo mechi mlihonga akina manula, inonga na chamaLakini kwani hao Makolo mbona wamefungwa mechi 4 mfululizo na na 5 pia wamefungwa kama wenzaooo?