TAHADHARI !
Mashabiki wa Atletico de MAKOLO wamewehuka,hivyo unaombwa kama shabiki wa mabingwa wa nchi (Young Africans) Kuwa nao makini maana unaweza kumtakia heri ya sikukuu ya mwaka mpya yeye akadhani umemwambia "GUSA,ACHIA,TWENDE KWAO"
Niwaombe mashabiki wa Young Africans tujiepushe na hasira za Makolo ili tuoone mwaka Kwa heri !
Hakikisha ukimtamkia shabiki wa KOLOKWINYO "GUSA , ACHIA, TWENDE KWAO" uwe na mbio za kukuepusha na dhahama,vinginevyo Atletico de MAKOLO watakuua!
ππππππππππππππ