Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ni kicheko tuuuuu.... Kwa raha zangu. Al Hilal wamejichanganya sana.wameingia kwenye mfumo kipigo ni halal yao. Kama ilivyoandikwa Al mil shalluh tunawah aanith watalah sal namil kasas. Kisasa lazima kiwaangukie hawa mbwa.
Game imeisha.... Imesha mapema sana. Yaani mpaka raha. Natembea nacheka tu njiani kwa raha zangu. Yanga hii itatuua kwa furaha. Ibenge umejaa kwenye mfumo. Sumu haionjwi kwa kulambwa.
Nasema kama tusiposhinda leo. Kama tusiposhinda leo. Narudia. KAMA YANGA TUSIPOSHINDA LEO NIPIGWE BAN YA SIKU 3 NA NICHAPWE VIBOKO 30. Mbele ya Umma. Maana najiamini kuwa game imeisha. Leo mwanayanga tembea kifua mbele na ukiweza shika mdada wowote makalio haufanywi kitu. Leo ni siku ya furaha.
Game imeisha.... Imesha mapema sana. Yaani mpaka raha. Natembea nacheka tu njiani kwa raha zangu. Yanga hii itatuua kwa furaha. Ibenge umejaa kwenye mfumo. Sumu haionjwi kwa kulambwa.
Nasema kama tusiposhinda leo. Kama tusiposhinda leo. Narudia. KAMA YANGA TUSIPOSHINDA LEO NIPIGWE BAN YA SIKU 3 NA NICHAPWE VIBOKO 30. Mbele ya Umma. Maana najiamini kuwa game imeisha. Leo mwanayanga tembea kifua mbele na ukiweza shika mdada wowote makalio haufanywi kitu. Leo ni siku ya furaha.