Utopolo kuliko kumpanga Metacha ni bora hiyo nafasi yake hapo golini wamweke beki!
Kuna yule dogo wa Simba alitoka Prison Abeli nadhani ni kipa mzuri pia.Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
naunga mkono hoja japo sijui ni kipa yupi wamchukueHawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
Ni Hussein Abel sio Meshack AbelMeshack Abel
Msheri na Metacha wote hawana hadhi ya kucheza timu kubwa kama Simba au Yanga, sijui ilikuwaje wakafika pale, golikipa za kubutua butua zishapitwa na wakati pia position zao langoni ni very poor! Kuna golikipa wa kmc kama ni mbongo yule anastahili kuwa timu kubwa kama yanga au simba.Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
Upande wa pili wa shilingi, hao makipa wakija watakalia benchi na kuwaulia viwango vyao tu.Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.