Yanga inatakiwa ipate golikipa mzawa wa kumpa changamoto Diara

Yanga inatakiwa ipate golikipa mzawa wa kumpa changamoto Diara

Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
Kuna yule dogo wa Simba alitoka Prison Abeli nadhani ni kipa mzuri pia.
 
Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
naunga mkono hoja japo sijui ni kipa yupi wamchukue
 
Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
Msheri na Metacha wote hawana hadhi ya kucheza timu kubwa kama Simba au Yanga, sijui ilikuwaje wakafika pale, golikipa za kubutua butua zishapitwa na wakati pia position zao langoni ni very poor! Kuna golikipa wa kmc kama ni mbongo yule anastahili kuwa timu kubwa kama yanga au simba.
 
Goalkeeper akishafiti kwenye mfumo hatakiwi apate changamoto. Once ukileta hizo inakubidi uanze kurotate magolikipa na hapo ndio unaharibu. Na ukumbuke ukipoteza mechi mbili tatu ligi kuu ni gape kubwa Sana unajenga la kukosa ubingwa
 
Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa mtibwa sugar toba fikiri na ibrahim parapanda wa singida fg. inatakiwa kila sub iwe ya moto hawa mmoja wapo atatufaa sana.
Upande wa pili wa shilingi, hao makipa wakija watakalia benchi na kuwaulia viwango vyao tu.
Umesahau ya Johora? ...... ama unadhani Johora anakiwango kidogo?
 
Back
Top Bottom