Yanga inayotoa misaada kuchangia damu, kuchangia charities, kusaidia vituo vya watoto yatima, wamefanya busara kufunga goli 1 tu kwa team yenye msiba

Yanga inayotoa misaada kuchangia damu, kuchangia charities, kusaidia vituo vya watoto yatima, wamefanya busara kufunga goli 1 tu kwa team yenye msiba

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Inapoitwa timu ya wananchi basi ujue inajitoa walau kusaidia wananchi, Yanga ni kawaida sana kuchangia damu, wakienda mikoani karibu kila mechi watafikia kituo cha watoto yatima, waathirika wa dawa za kulevya, n.k.

Yanga imecheza kwa kuzingatia kwamba Namungo ina majonzi ya msiba wa mashabiki wanne kupata ajali .

Yanga iliwafariji Namungo kwa kucheza chini ya kiwango ili nao waonekane wana defence na wana kipa mzuri ila kwa jinsi Namungo walivyoikamia mechi na rafu ni kama vile walisahau wana msiba, mwishoni mwishoni huku dakika za 85 ndio Yanga tunayoijua ikawashwa ikafunga goli moja tu na shughuli ikaishia hapo maana tupo kwenye maombolezo ilhali Namungo ni kama hawakuupa uzito msiba.
 
Inapoitwa timu ya wananchi basi ujue inajitoa walau kusaidia wananchi, Yanga ni kawaida sana kuchangia damu, wakienda mikoani karibu kila mechi watafikia kituo cha watoto yatima, waathirika wa dawa za kulevya, n.k.

Yanga imecheza kwa kuzingatia kwamba Namungo ina majonzi ya msiba wa mashabiki wanne kupata ajali .

Yanga iliwafariji Namungo kwa kucheza chini ya kiwango ili nao waonekane wana defence na wana kipa mzuri ila kwa jinsi Namungo walivyoikamia mechi na rafu ni kama vile walisahau wana msiba, mwishoni mwishoni huku dakika za 85 ndio Yanga tunayoijua ikawashwa ikafunga goli moja tu na shughuli ikaishia hapo maana tupo kwenye maombolezo ilhali Namungo ni kama hawakuupa uzito msiba.
Mkuu ni wewe ama
 
Kwa hiyo ulidhani Yanga itaendelea kishinda goli tano tano Kila inapocheza? ,huo ni uelewa finyu wa football.
Nakubaki kuwa Yanga ni timu Bora sana msimu huu,ila mda unavyozidi kwenda timu zingine zinazidi kujijengea "immune" ya kufungwa kwa kuaibishwa,matokeo yake umeyaona kwenye hiyo mechi na Namumgo rafu kukamia na rafu nyingi,zipo mechi nyingi zinazokuja Yanga watakamiwa watatoa droo na zingine baadhi watafungwa.
 
Back
Top Bottom