Yanga ingempiga Wydad goli zaidi ya 5

Yanga ingempiga Wydad goli zaidi ya 5

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UKUMBUSHO.

Yanga na Simba wote walikua wanashiriki CAFCL, Sasa iweje Yanga Leo yupo CAFCC?.
Kuna mmoja alikutana na kina vipers, horoya big bullets ( wadhaifu)

Kuna mwingine alikutana na Al hilal ( mbabe)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]
 
Kuna mmoja alikutana na kina vipers, horoya big bullets ( wadhaifu)

Kuna mwingine alikutana na Al hilal ( mbabe)
Kama Al Hilal ni mbabe mbona hajatoboa mbele Zaidi ya makundi?.

Kama Vipers ni wabovu na dhaifu mbona alimfunga Yanga, na pia Vipers hao hao walimtoa TP Mazembe.

Timu zote za CAFCC, zimeenda kucheza huko sio Kwa sababu wanapenda, bali uwezo wao haukuruhusu kwenda hatua ya mbele Zaidi.
 
Baada ya kuendelea kuifanyia tathimini ( uchambuzi) mechi ya wydadi Casablanca ( mabingwa wa Africa) na Makolo mabingwa wa .mapinduzi cup nimekuja kugundua yafuatayo

Kwa mpira wa spidi wanaocheza Yanga+ counter attack Yanga wangeweza kumuadhibu mwarabu ( ywdad) Kwa magoli zaidi ya 5

Uwepo wa wachezaji wasio wazito ( loading...) Kwenye kufanya maamuzi ya kufunga....kama mayele, musonda na Mwamnyeto Yanga ingempiga haswa wydadi Kwani walielemewa hasa

NB: tumuombee huyu kolo (bingwa wa mapinduzi cup) apigwe tu [emoji23]View attachment 2601388
Chama Cha mpira wa mdomoni Tanzania (CHADOMO)

Nakupa uenyekiti wa kudumu Kwa miaka 30

Yanga hii hii inayo cheza KOMBE la ma looser
🤓🤓🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤓🤓
 
Baada ya kuendelea kuifanyia tathimini ( uchambuzi) mechi ya wydadi Casablanca ( mabingwa wa Africa) na Makolo mabingwa wa .mapinduzi cup nimekuja kugundua yafuatayo

Kwa mpira wa spidi wanaocheza Yanga+ counter attack Yanga wangeweza kumuadhibu mwarabu ( ywdad) Kwa magoli zaidi ya 5

Uwepo wa wachezaji wasio wazito ( loading...) Kwenye kufanya maamuzi ya kufunga....kama mayele, musonda na Mwamnyeto Yanga ingempiga haswa wydadi Kwani walielemewa hasa

NB: tumuombee huyu kolo (bingwa wa mapinduzi cup) apigwe tu [emoji23]View attachment 2601388
Idadi kubwa ya mashabiki wa Yanga wanachangamoto ya afya ya akili akiwemo huyu jamaa yetu,tumekusamehe bure sababu ya changamoto uliyonayo ya kiafya.
 
Kama Al Hilal ni mbabe mbona hajatoboa mbele Zaidi ya makundi?.

Kama Vipers ni wabovu na dhaifu mbona alimfunga Yanga, na pia Vipers hao hao walimtoa TP Mazembe.

Timu zote za CAFCC, zimeenda kucheza huko sio Kwa sababu wanapenda, bali uwezo wao haukuruhusu kwenda hatua ya mbele Zaidi.
Kwa umbumbumbu wako unadhani vipers iliyoifunga Yanga ndiyo hii? Au ile TP Mazembe iliyomkanda Makolokolo 4-1 ndiyo hii iliyotolewa na Yanga?

Uwe unaelewa timu huwa zinapanda na kushuka viwango wakati wowote we Kolowizards.
 
Idadi kubwa ya mashabiki wa Yanga wanachangamoto ya afya ya akili akiwemo huyu jamaa yetu,tumekusamehe bure sababu ya changamoto uliyonayo ya kiafya.


Hapa sio Bure mkuu...

USHABIKI ukizidi Hivi ni TATIZO.

Nilijua peke yangu ndio ninawasi nae.
 
Kama Al Hilal ni mbabe mbona hajatoboa mbele Zaidi ya makundi?.

Kama Vipers ni wabovu na dhaifu mbona alimfunga Yanga, na pia Vipers hao hao walimtoa TP Mazembe.

Timu zote za CAFCC, zimeenda kucheza huko sio Kwa sababu wanapenda, bali uwezo wao haukuruhusu kwenda hatua ya mbele Zaidi.
Muulize mamelods
 
Back
Top Bottom