Yanga "INOGILE" fundi Niyonzima nae aongeza mkataba mchana huu!

Habari mpya Ni hii hapa jembe....
Buswita akimwaga wino Jangwani.
 
Mara ooh FIFA wana allergy na sisi Simba!!.. Yan Simba!!
 
Habari mpya Ni hii hapa jembe....View attachment 525157
Buswita akimwaga wino Jangwani.
Magazeti yanawapandisha presha tu, ili muwasainishe, kwa dau wanalotaka, kiongozi gani wa Simba umemsikia akimtaka Buswita. Ujue waandishi wa magazeti wanashiriki biashara ya usajili, huwa wanagonganisha maneno ili mpate presha mpande dau kalakabao.
 
Nyoinzima Amerudi Leo tarehe 17 alfajiri SAA 9 akishuka na Rwanda Air, Aveva naye alikuwepo uwanjani inaonekana kama Aveva alikua akimsubiri Haruna. Baada ya kufika Haruna alipanda gari ndogo na kutokomea,baadhi ya watu walidai ile Gari ilikua ya wapambe wa Aveva. Baada ya kitambo kidogo Aveva naye akapotea.ila kuna mnazi mmoja ambaye alidai kuongea na Aveva mda huo wa saa Tisa Alfajiri anadai Aveva alifika uwanjani hapo kwa ishu ya Haruna. Tegemea mda wowote kama simba wataafikiana na Haruna basi wataweka Hadharani.
 
Tunasubiri tamko!! Vipi Okwi naye kesha saini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…