HIVI LILE GARASA.....kishoka MKATA UMEME bado yupo ? KANDAMBILI BHANA....wanavituko!!! Wananikumbusha yule beach boy mchoma mishikaki aliyeletwa na tapeli MAXIMO.....
Zimisileni moyo kiungo wa zesco utd nadhani wengi mnamfahamu mechi kati ya yanga na zesco alikichafua sana aliwapoteza vibaya mno wakina niyonzima,kamusoko pale kati
Na mguu wake wa kushoto alikuwa anafanya anachotaka kila sehemu unamkuta akiomba mpira na mpira ukiwa mguuni kwake ni kama vile smaku na rasta zake utafikiri Edgar Davids
Usajili bora kama dili ikikamilika
HIVI LILE GARASA.....kishoka MKATA UMEME bado yupo ? KANDAMBILI BHANA....wanavituko!!! Wananikumbusha yule beach boy mchoma mishikaki aliyeletwa na tapeli MAXIMO.....
Teh teh teeeh. Yupo mkuu nahisi bado alikuwa anakula kozi Mtera, kidatu, nyumba ya Mungu na sasa anamalizia kozi yake Kinyerezi. Msubirieni msimu ujao.
Jamaa kachapia tu but i think alikuwa anamaanisha Zanaco ya ZambiaYanga hiajawai kucheza na Zesco na wala huyp sio mchezaji wa Zesco Huyo ni mchezaji wa Zanaco
Kuchanganya Madesa ni kawaida ya Kandambili....Kweli
Tumechanganya madesa
Hujamkumbuka serumkuma?beach boy(jaja) alitupa kombe la ngao ya hisan au umesahau ewe mbumbumbu?HIVI LILE GARASA.....kishoka MKATA UMEME bado yupo ? KANDAMBILI BHANA....wanavituko!!! Wananikumbusha yule beach boy mchoma mishikaki aliyeletwa na tapeli MAXIMO.....
vituko? kwani rais wenu kaachiwaMIKANDAMBILI haishiwi vituko.... huyo kishasepa kama alivyotoweka JAJA beach boy from Brazil....
KWELI KIMEO WEWE NI ''NDALA'' YA KWENDEA MALIWATONI GHAFLA UMEANZA MATUSI UNA JAZBA KAMA WAFUASI WA UKAWA....Hujamkumbuka serumkuma?beach boy(jaja) alitupa kombe la ngao ya hisan au umesahau ewe mbumbumbu?
HACHA AKAPUMZIKE...AKITOKA ATAKUTA TUMEMALIZA USAJIRI WA WACHEZAJI...vituko? kwani rais wenu kaachiwa