Yanga isajiliwe kama kikundi cha kigodoro wacheza uchi

Yanga isajiliwe kama kikundi cha kigodoro wacheza uchi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa.

Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.

Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
 
Kwa hiyo unataka kusema watoa baraka walikuwa eneo la tukio wakati shooting inaendelea?
 
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa. Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.
Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
Naunga mkono kuanzia leo Yanga iitwe Kangamoko FC
 
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa. Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.
Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
swala la fei kubaki ni km kidole cha kati ndani ya makato ya makolo kilichabaki ni kutafuta vya kujifariji tu
 
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa. Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.
Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
Mbumbumbu/Makolokolo/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada FC hamjawahi kuwa na akili na hamtakuwa nazo kabisa [emoji38]

Kwani wewe ukivaa jezi ya Man Utd na ukaanza kuikandia hata kucheza uchi kama Gatuso ndiyo inapelekea kuamini washabiki wote wa Man Utd ni mazumbukuku kama wewe?
 
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa. Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.
Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
🤣🤣
 
Mbumbumbu/Makolokolo/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada FC hamjawahi kuwa na akili na hamtakuwa nazo kabisa [emoji38]

Kwani wewe ukivaa jezi ya Man Utd na ukaanza kuikandia hata kucheza uchi kama Gatuso ndiyo inapelekea kuamini washabiki wote wa Man Utd ni mazumbukuku kama wewe?
Wale ni mashabiki wa Uto mixer na viongozi wa matawi. Tunawajua
 
Ile connection ya Yanga imeonyesha vipaji vingi walivyonavyo wana Utopolo.
Nimeona dada ambaye ni kiongozi wa tawi la Yanga akijimanua hatari kabisa.

Kuna yule kijana wa kiume anayatawanya matikiti kwa ustadi wa hali ya juu.

Kifupi hiki kikundi kisajiliwe kama idara ya Yanga. Kitumike kwenye hamasa kujaza uwanja. Tiketi ziuzwe kila kinapotumbuiza. Hiki kikundi kitatoa upinzani sana kwa kikundi cha Kispika Simba Sc

Nimeambiwa ile video ina baraka zote. Imetolewa ili kufifisha kelele za usajili wa Toto
Lile tukio kuna kiongozi wa Yanga? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mchezaji wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mwanachama wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate kujua namba za kadi zao

Wale ni wahuni tu kama wahuni wengine ambao wengine walikuwa wamevalia jezi za Yanga.
 
Lile tukio kuna kiongozi wa Yanga? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mchezaji wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mwanachama wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate kujua namba za kadi zao

Wale ni wahuni tu kama wahuni wengine ambao wengine walikuwa wamevalia jezi za Yanga.
Mnawakana wahuni wenzenu? Namba za kadi anazo privadinyo na huenda video walichukua hao hao vijana wenu wa hovyo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Lile tukio kuna kiongozi wa Yanga? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mchezaji wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate majina yao
Mwanachama wa Yanga je? Hakuna, kama yupo tupate kujua namba za kadi zao

Wale ni wahuni tu kama wahuni wengine ambao wengine walikuwa wamevalia jezi za Yanga.
Hata wazazi huwakana watoto.wao wakifanya mambo yasiyowapendeza lakini haiondoi uhalisia kuwa ni watoto wao.
 
Back
Top Bottom