Yanga isipokuwa seriouz shughuli yaweza kuishia hapahapa kwenye makundi

Yanga isipokuwa seriouz shughuli yaweza kuishia hapahapa kwenye makundi

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Tukisema kuna wachezaji wanatakiwa wafyekelewe mbali watu mnakuja juu.

Nacheki hapa Orlando anavomkimbiza CRB naona kwa hii kasi Yanga itakuja kututia aibu mbaya sana

Pacome huyu ni mzee.. ukiangalia tu sura yake unaona ni kibabu, mwili unakataa
Auchoo, huyu ni babu pia mwili unakataa ni bonge mzito

Dube hapa hata nisiongee sana,
Musonda, Mwamnyeto nasema hivi sisi yanga hatuna uvumilivu n kwa nilivomuina president leo basi hawa dirisha dogo wanatupiwa virago
 
Nyie mnaoanzisha mada za yanga humu JF MNATAKA KUMAA'NISHA NINIIII 😡🚮
 
Tukisema kuna wachezaji wanatakiwa wafyekelewe mbali watu mnakuja juu.

Nacheki hapa Orlando anavomkimbiza CRB naona kwa hii kasi Yanga itakuja kututia aibu mbaya sana

Pacome huyu ni mzee.. ukiangalia tu sura yake unaona ni kibabu, mwili unakataa
Auchoo, huyu ni babu pia mwili unakataa ni bonge mzito

Dube hapa hata nisiongee sana,
Musonda, Mwamnyeto nasema hivi sisi yanga hatuna uvumilivu n kwa nilivomuina president leo basi hawa dirisha dogo wanatupiwa virago
Uzi huu umenichekesha sana.

Nilidhani ni mimi tu toka day 1 nilivyomuangalia Pacome niliona age imeenda. Kakomaa tu na sindano zile zikamfanya awe anateleza kama kambale ila sasa karudi katika uhalisia wake ndiyo watu wanashtuka.

Mwamnyeto ilitakiwa awe anajiandaa kugombea udiwani au ubunge, badala yake yuko benchi.
 
Ha
Tukisema kuna wachezaji wanatakiwa wafyekelewe mbali watu mnakuja juu.

Nacheki hapa Orlando anavomkimbiza CRB naona kwa hii kasi Yanga itakuja kututia aibu mbaya sana

Pacome huyu ni mzee.. ukiangalia tu sura yake unaona ni kibabu, mwili unakataa
Auchoo, huyu ni babu pia mwili unakataa ni bonge mzito

Dube hapa hata nisiongee sana,
Musonda, Mwamnyeto nasema hivi sisi yanga hatuna uvumilivu n kwa nilivomuina president leo basi hawa dirisha dogo wanatupiwa virago
Hata alete nani yanga hafiki popote nilishasema injinia akubali kuwapamoja na wale WOTE waliomsaidiatuliposota miaka minne bila makombe endelea kuwakumbaria akina kamwe na genge lake walioikuta yanga kwenye kilele cha mafanikio.Nakushauri Tena injinia Bado hujachelewa manara mtu muhimu sana kwa propaganda na kukisaidia mambo yo nje ya uwanja ilipofia yanga.
 
Cr beluzdad kachapwa 2 nunge yote magoli ya mbali si wanaziba goli watu wanatupia mbali kitu kambani ndio Yanga ilitakiwa icheze hivi inaleta ubishoo wa kutaka kupita kati
Kama lile la black stars la Pacome au la Fei Taifa stars
 
Back
Top Bottom