Yanga isiwe kama kilabu cha pombe

Hili jitu kila likilala likiamka linaiwaza Yanga tu,nadhan kichwani kuna mawe.
 
Mbona basi lao taa za nyuma zina rangi nyekundu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho watapata habari yao... Utabiri unazidi kukazia yale Matokeo.... 0-4
Jr[emoji769]
 
punguza povu mkuu,usinilaumu mimi ilaumu Yanga iliyonipa mada


Siwezi kuilaumu Yanga wala ww.Namlaum babako maana hakuwa makini kuchagua mwanamke mwenye IQ kubwa wakat wa kuoa.Matokeo yake kazaliwa kilaza kama ww full kusumbua jamii ya wastaarabu.
 
Kwahivyo kuwakejeli wazazi wake ndo ustaaraba na IQ kubwa? Wewe ni mjinga sana hujui ustaarabu wala football na fair play

Vinazungumzwa vitu vya msingi kuhusu logo badala ya kujenga hoja zenye mantiki halafu wewe unaleta ujuha na kejeli zako, wewe ni nani kuweza kumlaumu mzazi wake..Tahadhari sana wewe..!

Siwezi kuilaumu Yanga wala ww.Namlaum babako maana hakuwa makini kuchagua mwanamke mwenye IQ kubwa wakat wa kuoa.Matokeo yake kazaliwa kilaza kama ww full kusumbua jamii ya wastaarabu.
 
Yanga FC ndio klabu pekee iliyokuwa katika vuguvugu la kuleta uhuru wa Tanganyika, Simba ni mabwanyenye wachache waliojitoa Yanga, ambao hawakutaka shida. Nashangaa kuna mijitu miingi bado inashabikia simba


Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! I LOVE YOU YANGA!!! POTELEA PWETE,
 
Ukileta uzi wa watani WA Jadi ni tag mkuu Achana na mbwigala huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂Muda wote wanawaza kunesa nesa kweny madimbwi 🤣🤣🤣kila nikisoma huo mstali nacheka mpak machoz
 
Yanga ikiwa kilabu cha pombe basi Simba ni kikosi cha wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…