Yanga itaacha lini soka la janja janja?

Yanga itaacha lini soka la janja janja?

Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyat...
Kibonde kabisa alipigwa 5, tar 5, mwezi wa 11, mwaka 2023.
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
😂😂sijakuelewa lakini naunga mkono hoja
 
Na 5imba nao dhaifu ee maana walipopolewa kweri kweriiiii
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Ndio tukikutana na timu dhaifu tunawapiga kweli kama wafuatao
1.simba 5
2.kmc 5
3.namungo 3
Jamani unisaidie nimesahau wengine
Nyie simba pia dhaifu
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Wa 5 nao waliviziwa
 
Mkuu
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Mkuu, kabla sijaweka comment yangu, naomba kufahamu kwa mtazamo wako CR Belouzdad, Medeama na Simba unaziwek kwenye kundi lipi? Ni dhaifu/vibonde au ni timu hizo za super legue?
 
Ndio tukikutana na timu dhaifu tunawapiga kweli kama wafuatao
1.simba 5
2.kmc 5
3.namungo 3
Jamani unisaidie nimesahau wengine
Nyie simba pia dhaifu
Sahihi kabisa! Nategemea pia izo 5 tuzione kwa Mamelodi, Petro de luanda
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Bora Namungo kapigwa 3, kuna yule alikula 5 dhaifu kabisa yule.
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Mkuu naona umeamka toka kwenye coma. Pitia nyuzi humu utajua Yanga yuko hatua gani kwenye klabu bingwa ya Afrika.
 
Kama umefuatilia mechi za Yanga karibuni utagundua wakicheza na timu dhaifu au vibonde wanakamia na kuzipopoa goli nyingi kwelikweli ila wakikutana na timu za super league wanaufyata

Hili tunaita soka la papatu papatu pangu pakavu pwagu na pwaguzi maana kama huna mikakati ya kupata ushindi mnono dhidi ya vigogo wakubwa utaishia kuwafuma vibonde na kuwaonea hao tu hufiki popote ndugu yangu

Tumeona leo tena wadogo zetu Namungo walivyokuwa wahanga wa soka fumanizi la janja janja, Wamekula 3

Yanga kama kweli wababe, tuone hayo makali kwenye klabu bingwa Afrika.
Subiri watakapo cheza na simba
 
Vilaza wa fb wamevamiaa uku kwa kasi kubwa so tujiandae kwa nyuzi za kitoto tu.
 
Vilaza wa fb wamevamiaa uku kwa kasi kubwa so tujiandae kwa nyuzi za kitoto tu.
Sijawahi tumia FB, pia Mimi sio kilaza Nina Degree ya Accountant iko certified kabisa CPA, pia nina Msc finance and accounting ( university of Cambridge) kati ya Mm na ww nani kilaza?
 
Back
Top Bottom