Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Heshima haiji kwa kushiriki shirikishoHahahahaha... Ilo haliondoi ukweli Yanga imeinuka na ni suala la muda tu heshima yake itatambulika Afrika sio kwa kufika tu robo fainali bali kwa kuwa mshindani wa vikombe barani Afrika.
Mpo shirikisho unavunjaje record za Club Bingwa π€£π€£π€£π€£π€£Ukitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka robo fainali iwe klabu bingwa au shirikisho.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
View attachment 2544029
π‘π‘π‘π€¬π€¬π€¬π€¬Simba hawana tofaut na yule Afande wa zenji... ππ
Jamaa jinga wewe, kwamba huamini kwamba Simba ilifika fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 na Nusu Fainali ya Klabu Bingwa afrika mwaka 1974 ? Ukome kuanzisha nyuzi kifalaKwaio hicho kipande cha karatasi ndio kina justify hoja Yako? Nikisema hivi nawewe utaamini?
Inamaana hujui tumewakung'uta na hao TP Mazembe 3-1 ambao waliwatandika 4 - 0 mwaka 2019Amka, utakuja kujikojolea. Angalia timu alizozifunga! Monastir tu imewashinda.
Endelea kuokoteza habariKwaio hicho kipande cha karatasi ndio kina justify hoja Yako? Nikisema hivi nawewe utaamini?View attachment 2544053
Halafu akatolewa na Vipers iliyopo kundi moja na Simba, ikapigwa nje ndaniTp Mazembe ni timu ya pili yenye mafanikio makubwa barani Afrika baada ya Al Ahly, bingwa mara 6 Afrika na amekugaragaza mara zote ulizokutana naye hadi mechi za kirafiki
kwenye mashindano gani? π π πInamaana hujui tumewakung'uta na hao TP Mazembe 3-1
Mara ya mwisho kuingia makundi ni mwaka 1998, unakumbuka?waliwatandika 4 - 0 mwaka 2019
Aaah wapiMimi ni mwananchi halisi lakini sioni aibu kusema Simba ilishafika fainali ya kombe la shirikisho na kupoteza Kwa Stella Artois1993. Mchezo ulichezwa Kwa siku mbili. Wenye kumbukumbu nzuri tukumbusheni
Caf Confederation Cup imeanzishwa mwaka 2004 baada ya caf kuunganisha makombe ya Caf cup na Afican cup Winner's cup.Jamaa jinga wewe, kwamba huamini kwamba Simba ilifika fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 na Nusu Fainali ya Klabu Bingwa afrika mwaka 1974 ? Ukome kuanzisha nyuzi kifala
Huna akili wewe Championships na Confederations wapi na wapiUkitazama kwa jicho la kimpira utakubaliana na mimi ya kuwa klabu ya Yanga itafika mbali zaidi ya ilipofikia Simba kwenye michuano hii ya CAF.
Ikumbukwe Yanga inashiriki kombe la shirikisho Afrika ambalo mwaka jana Simba alifika robo fainali, ila hakuna klabu yoyote nchini iliyowahi kuvuka nusu fainali iwe klabu bingwa au kombe la shirikisho ambalo limeanzishwa na caf mwaka 2004.
Hivyo tusishangae tukiona Yanga ikichukua kombe hili la shirikisho na kuiletea nchi yetu heshima kubwa.
View attachment 2544029
Hivi ungekaa kimya ungepungukiwa nini? Ni lini simba alicheza fainali ya kombe la shirikisho? Hiyo nusu tu hajawahi kuigusaMimi ni mwananchi halisi lakini sioni aibu kusema Simba ilishafika fainali ya kombe la shirikisho na kupoteza Kwa Stella Artois1993. Mchezo ulichezwa Kwa siku mbili. Wenye kumbukumbu nzuri tukumbusheni
Kwa hiyo hilo kombe la CAF ndiyo shirikisho?Acha uongo na rekodi za mchongo, yaani unataka kufuta rekodi za Simba kirahisi hivyo?
1. Simba ilifika hatua ya Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993
2. Simba ilifika hatua ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka 1974
View attachment 2544038
Halikuwa kombe la shirikisho hilo mkuu umechanganyaMimi ni mwananchi halisi lakini sioni aibu kusema Simba ilishafika fainali ya kombe la shirikisho na kupoteza Kwa Stella Artois1993. Mchezo ulichezwa Kwa siku mbili. Wenye kumbukumbu nzuri tukumbusheni
Mimi nimeandika Kombe la CAF na taahira umekazania Confederation Cup, mbwa wee. Halafu hiyo ya Nusu fainali ya Simba unairuka kama vile huioni. Luc Eymael kocha wenu aliwaita mbwa na nyaniCaf Confederation Cup imeanzishwa mwaka 2004 baada ya caf kuunganisha makombe ya Caf cup na Afican cup Winner's cup.
Kwa wakati huo ndio wawakilishi wa nchi walikuwa wanashiriki hilo. Kama ambavyo Simba ilivyokuwa inaitwa Sunderland, ila bado ni mnyama yule yule aliyeigonga Yanga 6-0, 5-0, 4-1, 4-1, 4-1Kwa hiyo hilo kombe la CAF ndiyo shirikisho?