kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Nimemsikia GB64 akitangaza mitandaoni kuwa wachezaji Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu, ina maana Patrick Simon hazioni clips hizi?
Kama sio kweli anachosema GB64 kuhusu Yanga kwanini hafunguliwi mashtaka mahakamani kwa kuharibu brand ya Yanga?
Akina Magoma walifungua na kuendesha kesi inayohusiana na Yanga hadi wakapewa ushindi lakini Patrick Simon hakunusa kitu chochote kutoka Mahakamani wala kutoka kwa wanasheria wenzake kuwa kuna kesi inayoihusu Yanga.
Kesi ya Morrison kwenda Yanga, mkataba wa Fei Toto kwenda Azam, nk. Inaonekana Partick Simon hana uzoefu au hana weledi unaohitajika kwenye timu kubwa kama Yanga. Tatizo ni uongozi au ni Simon?
Ni heri aachwe akatafute changamoto nyinge kwingine na kutafuta mshauri mwingine wa kisheria wa timu.
Kama sio kweli anachosema GB64 kuhusu Yanga kwanini hafunguliwi mashtaka mahakamani kwa kuharibu brand ya Yanga?
Akina Magoma walifungua na kuendesha kesi inayohusiana na Yanga hadi wakapewa ushindi lakini Patrick Simon hakunusa kitu chochote kutoka Mahakamani wala kutoka kwa wanasheria wenzake kuwa kuna kesi inayoihusu Yanga.
Kesi ya Morrison kwenda Yanga, mkataba wa Fei Toto kwenda Azam, nk. Inaonekana Partick Simon hana uzoefu au hana weledi unaohitajika kwenye timu kubwa kama Yanga. Tatizo ni uongozi au ni Simon?
Ni heri aachwe akatafute changamoto nyinge kwingine na kutafuta mshauri mwingine wa kisheria wa timu.