Patrick ameshindwa tena hapo. Alipaswa kushauri viongozi walipaswa kufanya nini au wasifanye nini kwenye usajili kuepuka makosa ya keshiria ya kumkosa mchezaji. HafaiHawezi kucheza Yanga sababu ameshasajiriwa na Simba, ila Yanga watamshinda kea kuwa amewatapeli tabia ambayo inapigwa vita michezoni, hivyo anaweza akaishia kufungiwa kama Yanga watamkomalia
Kila afanyacho ni maelekezo, usifikiri kwamba hajui mamkikataba ya magumashi, hizi timu za kariakoo zenyewe ndio zinawapangia walimu, wanasheria, waasibu na wachezaji cha kufanya na si wataalamu kuishauri timu .Nimemsikia GB64 akitangaza mitandaoni kuwa wachezaji Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu, ina maana Patrick Simon hazioni clips hizi?
Kama sio kweli anachosema GB64 kuhusu Yanga kwanini hafunguliwi mashtaka mahakamani kwa kuharibu brand ya Yanga?
Akina Magoma walifungua na kuendesha kesi inayohusiana na Yanga hadi wakapewa ushindi lakini Patrick Simon hakunusa kitu chochote kutoka Mahakamani wala kutoka kwa wanasheria wenzake kuwa kuna kesi inayoihusu Yanga.
Kesi ya Morrison kwenda Yanga, mkataba wa Fei Toto kwenda Azam, nk. Inaonekana Partick Simon hana uzoefu au hana weledi unaohitajika kwenye timu kubwa kama Yanga. Tatizo ni uongozi au ni Simon?
Ni heri aachwe akatafute changamoto nyinge kwingine na kutafuta mshauri mwingine wa kisheria wa timu.
Hahahah mkuu huyu jamaa atakuwa mjinga kiasi kuharibu Professional yake kiasi watu wa Kariakoo.Kila afanyacho ni maelekezo, usifikiri kwamba hajui mamkikataba ya magumashi, hizi timu za kariakoo zenyewe ndio zinawapangia walimu, wanasheria, waasibu na wachezaji cha kufanya na si wataalamu kuishauri timu .
YANGA ndio inampangia WAKILI cha kufanya na si wakili kuishauri YANGA.
HUNA HATA KIMOJA UNACHOKIJUA KUHUSU HIYO KESI YA KAGOMA. KAGOMA ALISAINI MKATABA TU LAKINI HAKUCHUKUA HATA SH KUMI YA YANGA NA HUO MKATABA ALIOSAINI TAYARI ULISHAVUNJIKA KITAMBO TU. TFF INAWEZAJE KUMPA MCHEZAJI LESENI HALAFU TFF HIYO HIYO IMFUNGIE KWA KIPI? KWA KOSA GANI? WAKATI MKATABA NA NYUMA MWIKO ULISHAVUNJIKA.Hawezi kucheza Yanga sababu ameshasajiriwa na Simba, ila Yanga watamshinda kea kuwa amewatapeli tabia ambayo inapigwa vita michezoni, hivyo anaweza akaishia kufungiwa kama Yanga watamkomalia
Kwa hiyo na wewe unayejua vyite kuhusu hiyo kesi ndiyo umejibu hivi?HUNA HATA KIMOJA UNACHOKIJUA KUHUSU HIYO KESI YA KAGOMA. KAGOMA ALISAINI MKATABA TU LAKINI HAKUCHUKUA HATA SH KUMI YA YANGA NA HUO MKATABA ALIOSAINI TAYARI ULISHAVUNJIKA KITAMBO TU. TFF INAWEZAJE KUMPA MCHEZAJI LESENI HALAFU TFF HIYO HIYO IMFUNGIE KWA KIPI? KWA KOSA GANI? WAKATI MKATABA NA NYUMA MWIKO ULISHAVUNJIKA.
Sio kwelibhanaaa. Ina maana mwanasheria hahusishwi kwenye uandishi na vipengela vya mikataba? Hakuwaambia mabosi wake kuwa kuchelewesha malipo kunaweza kutumika kama mwanya wa kuvunjika kwa mkataba? Ina maana Patrick hakufuatilia kesi ya Lameck Lawi vs Simba na Simba vs coastal union?Kila afanyacho ni maelekezo, usifikiri kwamba hajui mamkikataba ya magumashi, hizi timu za kariakoo zenyewe ndio zinawapangia walimu, wanasheria, waasibu na wachezaji cha kufanya na si wataalamu kuishauri timu .
YANGA ndio inampangia WAKILI cha kufanya na si wakili kuishauri YANGA.
HUJUI CHOCHOTE NDIO MAANA UMEISHIA KUNISHAMBULIA BADALA YA KUISHAMBULIA HOJA ILIYOPO MEZANI.Kwa hiyo na wewe unayejua vyite kuhusu hiyo kesi ndiyo umejibu hivi?
Ulivyojibu tu unaonekana uwezo wako wa kuelewa unaanzia chini hadi ugokoni.
Wewe unajua chochote, umefurahi?HUJUI CHOCHOTE NDIO MAANA UMEISHIA KUNISHAMBULIA BADALA YA KUISHAMBULIA HOJA ILIYOPO MEZANI.
Mapipa yanacheza!?kuna mambo ya kupotezea lakini sio hayo, yahashusha heshima. Mambo kama hayo ndiyo yanayosababisha timu kuja na mapipa yao tz.