Hawaingii bure wamelipiwa na mdhamini mkuu,(it is also a business strategy to earn more money after reaching the next stage)Kushinda Sio Hoja......!
Hoja Mashabiki Kuingizwa Bure...! Fungulia umbwa
Hii ni Kashfa kwa Timu Kubwa kama Yanga..!
Unajua maana ya neno "bure"? Bure maana yake ni bure akuna kinacholipiwa chochote, but kwa yanga sio bure maana tiketi zimelipiwa na mzigo umeingia kwenye account ya yanga ingekuwa bure ata tiketi zisingekuwepo!Kushinda Sio Hoja......!
Hoja Mashabiki Kuingizwa Bure...! Fungulia umbwa
Hii ni Kashfa kwa Timu Kubwa kama Yanga..!
Unajua maana ya neno "bure"? Bure maana yake ni bure akuna kinacholipiwa chochote, but kwa yanga sio bure maana tiketi zimelipiwa na mzigo umeingia kwenye account ya yanga ingekuwa bure ata tiketi zisingekuwepo!
Mechi ya fainal ya mamelody na wydad nayo ilikuwa bure pimbi weweNani kalipia? We umeona hiyo transfer ya fedha ?
Nimekupa tkt imeandikwa 10000...ujalipa.chochote hhio si bureumepewaUnajua maana ya neno "bure"? Bure maana yake ni bure akuna kinacholipiwa chochote, but kwa yanga sio bure maana tiketi zimelipiwa na mzigo umeingia kwenye account ya yanga ingekuwa bure ata tiketi zisingekuwepo!
tafuta helaHili jambo Viongozi wamelifanya bila Kufikiria.... ! Karne hii Yanga inayojiita Timu Kubwa.
Shabiki anaingia 'Fungulia Umbwa'....?
Katika Hali Ya Kawaida hata huku kitaa Mtu aandae sherehe afu anakualika bila kuchangia Wakati yeye Kaingia Gharama inakuwa ameku dharau sana.....! Yanga sio ya Watu Kuingia bure Kbs....!
Hili lingefanywa na Azam ,isingeshangaza...! Azam hana Mashabiki.
Yanga is BIG TEAM..! This is very Low for Yanga.
Mbetie Yanga ushindi, weka milion mbili na km hauna kakope benki, weka nyumba dhamana maana atashinda na utapata zaidi ya mara 3.Nianze kwa kuwatakia sikukuu njema ya Christmas's kabla sijasahau
Naomba niwape siri kama kuna timu Medeama atajuta kukutana nayo nyumbani ni Yanga
Nisiseme mengi kifupi Yanga itashinda FT na total goals zaidi ya 3
Adbest