Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Vyovyote vile unavyoona najichekesha ni kwa sababu kuna wajinga kina pangu pakavu tia mchuzi wanataka kumiliki timu huku hawana hela, hasa wananchi ambao sukari tu imewashinda kununua.Sasa mbona unajichekeshachekesha au umetoka kubeba mabox ya mo energy
Nakukumbusha Mr chura kwamba MO na GSM ni pipa na mfuniko, hao ndio wamiliki halali wa hizo timu 2