Yanga itumie nafasi hii adimu kujipatia mashabiki wanaohama Simba baada ya kusikia Mo Dewji ndio mmiliki wa Simba

Sasa mbona unajichekeshachekesha au umetoka kubeba mabox ya mo energy
Vyovyote vile unavyoona najichekesha ni kwa sababu kuna wajinga kina pangu pakavu tia mchuzi wanataka kumiliki timu huku hawana hela, hasa wananchi ambao sukari tu imewashinda kununua.


Nakukumbusha Mr chura kwamba MO na GSM ni pipa na mfuniko, hao ndio wamiliki halali wa hizo timu 2
 
Umepaniki blazaaa..!!!! Yaani Mo akihesabu idadi ya mashina ya mkonge anayoyamiliki, na wewe umo..!!
Ndivyo ilivyo kwako, GSM akihesabu idadi ya vyura anaiwamiliki na wewe umo.

Tulia babu umaskini wa waasisi ndio ulisababisha hao wasela kuzinyakua hizo timu 😂😂
 
WATANZANIA NIWAJINGA SANA,...., NGOJA NIISHIE TU HAPA.
 
Mo ndio mmiliki halali hakuna wa kubisha,na viongozi wakibisha anajitoa na kuhamia singida leopards
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…