kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Msipokuwa makini kuna kila dalili ya kukosa vyote, ubingwa na mabadiliko ya mfumo wa club.
Nionavyo mimi tumieni nguvu zenu nyingi kufanikisha mageuzi ya mfumo wa uendeshaji wa klubu yenu badala ya kufarakana wakati wa kuutafuta ubingwa wa msimu huu unaokaribia kuwaponyoka.
Waambie mashabiki wenu ukweli kuhusu jambo hili kuwa Simba mfumo mpya wa uendeshaji wa club unawabeba hivyo watulie ili mfanikishe mageuzi hayo kwa pamoja.
Nionavyo mimi tumieni nguvu zenu nyingi kufanikisha mageuzi ya mfumo wa uendeshaji wa klubu yenu badala ya kufarakana wakati wa kuutafuta ubingwa wa msimu huu unaokaribia kuwaponyoka.
Waambie mashabiki wenu ukweli kuhusu jambo hili kuwa Simba mfumo mpya wa uendeshaji wa club unawabeba hivyo watulie ili mfanikishe mageuzi hayo kwa pamoja.