Mkuu mbona nyuzi zako siku hizi unaandika kama vile unaikana Yanga, wote humu tunajua wewe ni shabiki wa Yanga, kwanini utumie misemo kama timu Yao na sio yetu, hebu ishauri timu yako ukiwa huru haina haja ya kujificha ficha baada ya mambo kuwa tofauti na matarajio yenu