Yanga jiondoeni kwenye Ligi msimu huu, Waachane TFF wenyewe na Simba

JITOENI HARAKA SANA NA MUANZE KULIPA FIDIA ZA MIKATABA YA WATU KUANZIA WACHEZAJI HADO MAKOCHA, TENA ONDOKENI HARAKA MNOO MNANUKISHA VINYESI TU
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jezi zimetoka wee mtu.
 
Mjitoe tu,co mnamwendekeza huyo chizi wenu ambaye aliwahi kuwaambia akiwa chama kubwa kuwa suseni muone
 
Yaani Utopolo Haji amewashika sehemu mbaya mno, mpaka wamewehuka yaani..!

Kwani miaka yote mlikuwa na Haji?
 
Mbna unahamisha magoli,hakika mwaka huu Kinye Fc.mtaweweseka sana
 
msishangae mleta uzi ni shabiki wa Uto kaonyesha alichonacho kichwani kwake.dah,,,!kaaazi kwelikweli.
 
yule manara ni KIVURUGE kweli kweli.na kawapata wa kuwavuruga
Manara yule aliyekuwa akiwatukana utopolo.
Mimi kipindi anagombana na Barbara nilisema nitakuwa upande wa Barbara na manara aondoke . hauwezi kumtukana BOSS wako.
Wewe Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…