Yanga kabla hawajacheza Usm Alger waitwe ikulu wakapate baraka za Mama ili wakaliwakilishe Taifa kwa uzalendo mkubwa

Yanga kabla hawajacheza Usm Alger waitwe ikulu wakapate baraka za Mama ili wakaliwakilishe Taifa kwa uzalendo mkubwa

NASHAURI.

Wangekuwa kule kwa WANAUME.

Mamelodi.
WHYDAD.
Raja.
Simba.

WANGEFIKA FAINALI huku Ningekuwa WA kwanza KUWAOMBA WAENDE bungeni na IKULU.
Kipindi Simba inatolewa kwa penati na Orlando kombe hili mliisifu na kusema kuwa mmetoka kiume

Huna point kaa kimya meza Panadol upumnzike.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Simba inatolewa kwa penati na Orlando kombe hili mliisifu na kusema kuwa mmetoka kiume

Huna point kaa kimya meza Panadol upumnzike.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkumbushe kuwa hizo Tambo zao za kuwa wapo top 10 CAF ni kwa sababu wana alama 35. Kati ya hizo 8 alizipata kwenye loser cup ya msimu uliopita kutokana na kuchukua kombe lao la robo fainali.
N.B. Zimekuwa 8 baada ya 2 ku depreciate in a straight line method.
 
Upuuzi mtupu na takataka ktk vitu vina haribu mpira ni hizi siasa.

Yatatokea yale ya taifa stars ndo tutapata akili, hivi hatujifunzi tu?

Namshauri rais wetu hersi asikubali upumbavu huo, na apige marufuku wana siasa kuisogelea team kambini kwa kisingizio cha hamasa. Hizi hamasa za kwenda kuwaona wachezaji ni upuuzi.

Hii mechi waachiwe makocha tu waamue wao na sio kuleta upumbavu wa hamasa.

Kama ni hamasa jitokezeni kwa wingi taifa na kushangilia kwa nguvu
 
Waziri wa michezo na naibu waziri tunatambua na tunaona kazi zenu katika tasnia ya utamaduni Sanaa na michezo hakika mashabiki hatuna Cha kuwadai kwani mh. Raisi Dr Samia suluhu hassan hakukosea kuwateua/kuwapa nyadhifa hizo hakika mnastahili pongezi.

NALIA NGWENA kupitia mtandao pendwa JF nikuombe waziri wa michezo ratibu muda Timu ya Yanga ikutane na Mama ikulu walau washikwe hata mkono na mama, maana mkono /maneno ya mama ni baraka kubwa sana kwa mtoto hakika itawapa Yanga molali kubwa katika kulipambania Taifa.

Ni matumaini yangu maoni yangu yatafanyiwa kazi.


Wako JF expert member NALIA NGWENA
Mwanasiasa yupi mwenye Baraka? Unaleta vituko.

Muulize Mohammed Mwameja akuhadithie kilichowagharimu kwenye fainali ya bonanza la Mashhod Abiola.
 
Back
Top Bottom