NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Kipindi Simba inatolewa kwa penati na Orlando kombe hili mliisifu na kusema kuwa mmetoka kiumeNASHAURI.
Wangekuwa kule kwa WANAUME.
Mamelodi.
WHYDAD.
Raja.
Simba.
WANGEFIKA FAINALI huku Ningekuwa WA kwanza KUWAOMBA WAENDE bungeni na IKULU.
Tulia wewe [emoji41]Ukienda wew inatosha usituletee nuksi
Hakuna MIKOSI yoyote mbona hela za mama mnapokea.kujitafutia mikosi tu
Umeongea kwa uchungu sana kwani unaumia ukiwa wapiWakamuwakilishe mAma na maluza wenzao
Pole sana kolowizadMaliziq kwenye loosers cup
Huchoma uwanja kwa madibaMaskini akipata.......!
Pole sana naona timu lenu limejaza wazawa kweli kweliIkulu yetu? Timu iliyojaza Wacongo tena yenye kocha wa Kirundi inayoshiriki 2nd tier competition!
Mkumbushe kuwa hizo Tambo zao za kuwa wapo top 10 CAF ni kwa sababu wana alama 35. Kati ya hizo 8 alizipata kwenye loser cup ya msimu uliopita kutokana na kuchukua kombe lao la robo fainali.Kipindi Simba inatolewa kwa penati na Orlando kombe hili mliisifu na kusema kuwa mmetoka kiume
Huna point kaa kimya meza Panadol upumnzike.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nikiwa mgongoni mwakoUmeongea kwa uchungu sana kwani unaumia ukiwa wapi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Matusi ndiyo kombe lenu makolo nyieNikiwa mgongoni mwako
Mwanasiasa yupi mwenye Baraka? Unaleta vituko.Waziri wa michezo na naibu waziri tunatambua na tunaona kazi zenu katika tasnia ya utamaduni Sanaa na michezo hakika mashabiki hatuna Cha kuwadai kwani mh. Raisi Dr Samia suluhu hassan hakukosea kuwateua/kuwapa nyadhifa hizo hakika mnastahili pongezi.
NALIA NGWENA kupitia mtandao pendwa JF nikuombe waziri wa michezo ratibu muda Timu ya Yanga ikutane na Mama ikulu walau washikwe hata mkono na mama, maana mkono /maneno ya mama ni baraka kubwa sana kwa mtoto hakika itawapa Yanga molali kubwa katika kulipambania Taifa.
Ni matumaini yangu maoni yangu yatafanyiwa kazi.
Wako JF expert member NALIA NGWENA
Hata kawaita ikulu SasaMwanasiasa yupi mwenye Baraka? Unaleta vituko.
Muulize Mohammed Mwameja akuhadithie kilichowagharimu kwenye fainali ya bonanza la Mashhod Abiola.