Areus
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 337
- 417
Yanga haikukamia game. Hata saikolojia ya wachezaji uwanjani tu wakati Mpira unachezwa unaweza kujua Nani alikamia game.
Yanga wali relax Sana walicheza Mpira taratibu lkn kwa umakini mkubwa Sana.. Simba ilicheza Mpira wa nguvu bila kutumia akili ndio maana walitengeneza nafasi nyingi lkn upapara wa kumalizia ukikosekana ndio maana hawakupata matokeo
Halafu ipo hivi mathematically
Simba Ni timu mbovu Sana inapokutana na Yanga ligi kuu na Yanga Ni timu nzuri inapokutana na Simba. Lkn Simba Ni wazuri wanapokutana na timu zingine and virce versa Yanga Ni wabovu Sana wanapokutana na timu zingine tofauti na Simba. Kwahyo Simba wajipanga kidogo wapunguze presha wanapocheza na Yanga
Ushindi wa Yanga Jana unadhihirisha Ni kwa namna Gani ligi yetu ilivyokuwa Bora na Ni ya kiushindani kuliko Simba wangeshinda game ya Jana kutokana na Aina ya wachezaji wazuri ambao Simba wanao ambao hawaijui Derby ya Kariakoo. Ndo. Mana kimataifa Simba inaweza Fanya vizuri
Yanga wali relax Sana walicheza Mpira taratibu lkn kwa umakini mkubwa Sana.. Simba ilicheza Mpira wa nguvu bila kutumia akili ndio maana walitengeneza nafasi nyingi lkn upapara wa kumalizia ukikosekana ndio maana hawakupata matokeo
Halafu ipo hivi mathematically
Simba Ni timu mbovu Sana inapokutana na Yanga ligi kuu na Yanga Ni timu nzuri inapokutana na Simba. Lkn Simba Ni wazuri wanapokutana na timu zingine and virce versa Yanga Ni wabovu Sana wanapokutana na timu zingine tofauti na Simba. Kwahyo Simba wajipanga kidogo wapunguze presha wanapocheza na Yanga
Ushindi wa Yanga Jana unadhihirisha Ni kwa namna Gani ligi yetu ilivyokuwa Bora na Ni ya kiushindani kuliko Simba wangeshinda game ya Jana kutokana na Aina ya wachezaji wazuri ambao Simba wanao ambao hawaijui Derby ya Kariakoo. Ndo. Mana kimataifa Simba inaweza Fanya vizuri