Yanga katika vita kubwa Kombe la Shirikisho leo

1.Asilimia 90. ya mipira wanaopewa maforward wa yanga ili kufunga huishia kupigwa juu ama pembeni au kumlenga kipa na kuwasababishia pressure isio ya lazima washabiki. Warekemishe na kujifunza angle of depression katika shooting.

2.Katika kipindi cha kwanza kuna kauzubaifu fulani mtu anapokuwa na mpira na kudababisha adui aje kuuchukua kiulaini wakati anatafakari nini cha kufanya.

3.Blind pass hizi zimekubuhu kwenye timu yetu na mara nyingi unakuts mtu anampasia adui au anapigs pasi dhaifu imbayo hzimfikii mlengwa na kuwa intercepted na adui

4.Mabeki kucheza rafu zisizo zaazima eneo hatsri.Inabidi kama ni rafu wajue wakati sahihi ns eneo sahihi la kufanya hivyo.

5.Wachezaji wawe wepesi wakosoma ni upandegani wa uwawanja ni raisi kupita na ni upande gani ni kugumu hii ni kwa timu zote ili kuwasaidia kubadili uwanja pale ambapo mchezaji tegemeo anapobanwa sana au beki anapokiwa uchochoro upande wao waongeze nguvu na upande wa maadui watumie mwanya huo.

6.Mechi iliyopita midle ilikatika sana na kuruhusu maadui kumiliki mpira katikati wakirekebisha mambo yatakuwa poa
 
Mwenye link ya kuangalia online naomba atuwekee wengine muda huo hatutakuwa karibu na tv
 
Muda mwingine rangi ya kisiasa inakusaidia kudumisha uzalendo [emoji1]
 
Yanga leo ataiduwaza Medeama....kama TZ ilivyowah kuiduwaza Burkinabe enzi za Maksimo kwa bao murua la Erasto Nyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…