Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho, Yanga, leo wako ugenini jijini Accra, Ghana kwa kazi moja tu – kupata ushindi dhidi ya Medeama ya huko ili kujinasua kutoka mkiani.
Vipigo viwili mfululizo vya bao 1-0 kutoka kwa MO Bejaia ugenini na TP Mazembe nyumbani vimeipa kazi kubwa Yanga kuweza kuonyesha makali yake huku sare ya nyumbani dhidi ya Medeama nayo ikipunguza uwezekano wa timu hiyo kutoka jijini Dar es Salaam kufanya vyema zaidi.
Soma=> Yanga katika vita kubwa Kombe la Shirikisho leo | Fikra Pevu
Vipigo viwili mfululizo vya bao 1-0 kutoka kwa MO Bejaia ugenini na TP Mazembe nyumbani vimeipa kazi kubwa Yanga kuweza kuonyesha makali yake huku sare ya nyumbani dhidi ya Medeama nayo ikipunguza uwezekano wa timu hiyo kutoka jijini Dar es Salaam kufanya vyema zaidi.
Soma=> Yanga katika vita kubwa Kombe la Shirikisho leo | Fikra Pevu