Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mechi ya tatu Sasa point tatu kwetu zimekuwa mtuhani Kama wa physics advance
Na kila timu haitaki kushuka daraja Sasa sjui itakuwaje
Waliosema yanga ipo vizur wajitathmin Sana Tena mno
Kila mwaka tunaanza vizuriii tunamaliza vibaya
Hakika dalili ya mvu n mawingu hata hatujui wapi panapovuja
NasikIa eti Morrison naye anakuja kutuvuruga Zaid hawakumbuki muda na gharama tuliopoteza kwake
Mpigaji penati kila siku anajulikana ni Shaban Djuma Sasa Mayele aliendaje pale kupiga penati?
Inaonekana wachezaji wanajali rekodi binafsi badala ya timu Kwanza?
Ubingwa umewekwa rehani na wao wenyewe Simba wanajua nn ya maana ya ubingwa hawatakubali katu kupoteza mechi hata moja
Na Simba watatumia Kila aina ya fitina tushindwe
Yanga raundi ya pili huwa Kama nyuki wa mashineni kelele nyingii kumbe hang'ati
Haya ndyo maajabu yapo yanga TU timu inampambania mchezaji mmoja aweke rekod binafsi na SI kuipambania timu
Ikumbukwe mayele hakujiamulia kupiga penat ile walikubaliana
Itatuchukua muda kidogo kujua thaman y nembo na s thaman ya mchezaji binafs
Tunakuza brand ya mtu na SI brand ya timu mwishowe yawe ya Morrison tulimkuza akavimba akatupasu katikati had leo makovu tunayo
Na kila timu haitaki kushuka daraja Sasa sjui itakuwaje
Waliosema yanga ipo vizur wajitathmin Sana Tena mno
Kila mwaka tunaanza vizuriii tunamaliza vibaya
Hakika dalili ya mvu n mawingu hata hatujui wapi panapovuja
NasikIa eti Morrison naye anakuja kutuvuruga Zaid hawakumbuki muda na gharama tuliopoteza kwake
Mpigaji penati kila siku anajulikana ni Shaban Djuma Sasa Mayele aliendaje pale kupiga penati?
Inaonekana wachezaji wanajali rekodi binafsi badala ya timu Kwanza?
Ubingwa umewekwa rehani na wao wenyewe Simba wanajua nn ya maana ya ubingwa hawatakubali katu kupoteza mechi hata moja
Na Simba watatumia Kila aina ya fitina tushindwe
Yanga raundi ya pili huwa Kama nyuki wa mashineni kelele nyingii kumbe hang'ati
Haya ndyo maajabu yapo yanga TU timu inampambania mchezaji mmoja aweke rekod binafsi na SI kuipambania timu
Ikumbukwe mayele hakujiamulia kupiga penat ile walikubaliana
Itatuchukua muda kidogo kujua thaman y nembo na s thaman ya mchezaji binafs
Tunakuza brand ya mtu na SI brand ya timu mwishowe yawe ya Morrison tulimkuza akavimba akatupasu katikati had leo makovu tunayo