Sasa Caf wanaitumia hii hii list kama walivyoitumia mwaka huu kuianzisha simba round ya kwanza na wakubwa wenzake afrika, una swali jingine mr utopwinyo?
Huna unalolijua mzee.
Zamani makundi ndio iliitwa ROBO FAINALI.
Kulikuwa na makundi mawili tu. Kila kundi ni timu 4. Aina hii ya makundi imebadilshwa miaka mitano hii tu, ili kuleta Robo fainali yenye mfumo wa mtoano na sio makundi.
Hata 2003 Simba alikuwa Robo fainali kama hii akiwa kundi moja na Enyimba ya Nigeria.
Afrika tulikuwa na aina yetu ya kupanga mashindano yetu. Hata AFCON makundi yalikuwa machache zamani, na sasa umeona yanaongezwa ili kuleta ladha halisi.
Nyie mliojua mpira mara baada ya Azam kuanza kurusha ndio mnatuharibia uchambuzi sahihi wa mpira.
hivi mkuu ata kama tukiacha huu tunaoita utani wa jadi, hivi kabisa mtu mwenye Akili timamu anaweza kuleta club Ranking ambayo Hadi leo hii inaonesha kuwa hizi team ziko juu ya team kama Rs berkane
Asante kotoko
Power dynamos
Plateau utd
Dolphins FC
Al merrick
Bidvest
Akwa utd
Highlanders
Enyimba
Motema pembe
Saint Eloi Lupopo
Djoliba AC
Kweli kuna gharama kubwa Sana za kuwa Mjinga kuliko kuwa mwelevu, unakuta huyu mtu ana watoto na wao wanatakiwa kuwa proud na Baba yao
Huna unalolijua mzee.
Zamani makundi ndio iliitwa ROBO FAINALI.
Kulikuwa na makundi mawili tu. Kila kundi ni timu 4. Aina hii ya makundi imebadilshwa miaka mitano hii tu, ili kuleta Robo fainali yenye mfumo wa mtoano na sio makundi.
Hata 2003 Simba alikuwa Robo fainali kama hii akiwa kundi moja na Enyimba ya Nigeria.
Afrika tulikuwa na aina yetu ya kupanga mashindano yetu. Hata AFCON makundi yalikuwa machache zamani, na sasa umeona yanaongezwa ili kuleta ladha halisi.
Nyie mliojua mpira mara baada ya Azam kuanza kurusha ndio mnatuharibia uchambuzi sahihi wa mpira.
Kweli kabisa dah sasa nashangaa hapa majitu yasiyojua soccer yanambishia a person with albinism kwamba yanga hawataanzia round ya kwanza,watu wamenzia kujua soka juzi tu albino yuko sahihi kabisa na ndo msimamo wa young africans
hivi mkuu ata kama tukiacha huu tunaoita utani wa jadi, hivi kabisa mtu mwenye Akili timamu anaweza kuleta club Ranking ambayo Hadi leo hii inaonesha kuwa hizi team ziko juu ya team kama Rs berkane
Asante kotoko
Power dynamos
Plateau utd
Dolphins FC
Al merrick
Bidvest
Akwa utd
Highlanders
Enyimba
Motema pembe
Saint Eloi Lupopo
Djoliba AC
Kweli kuna gharama kubwa Sana za kuwa Mjinga kuliko kuwa mwelevu, unakuta huyu mtu ana watoto na wao wanatakiwa kuwa proud na Baba yao
Ulitarajia nibishane na mtu wa hivyo,nime support ili kimfurahisha hao bidvest wako dissolved tangu 2016 mafanikio yao makubwa ninkumaliza wa tatu psl na kufika makundi afrika walipowatoaga azam
Ulitarajia nibishane na mtu wa hivyo,nime support ili kimfurahisha hao bidvest wako dissolved tangu 2016 mafanikio yao makubwa ninkumaliza wa tatu psl na kufika makundi afrika walipowatoaga azam
Of course me nilikuelewa vizuri Sana, na njia ya kuongea na Mjinga ni kujifanya Mjinga zaidi yake Hadi ashangae
ila hoja yangu ni kwamba mtu mwenye Akili timamu anawezaje kufanya/kusema hayo? Mbona binadamu tumeumbwa na aibu sana sasa inakujae mtu anasema ujinga na haoni aibu
Of course me nilikuelewa vizuri Sana, na njia ya kuongea na Mjinga ni kujifanya Mjinga zaidi yake Hadi ashangae
ila hoja yangu ni kwamba mtu mwenye Akili timamu anawezaje kufanya/kusema hayo? Mbona binadamu tumeumbwa na aibu sana sasa inakujae mtu anasema ujinga na haoni aibu
Ok, kwahiyo wanatumia assesment ya 5 years in a row ktk accumulation ya hizi point ambazo club imekusanya throug stages mbalimbali sio?
If so, Simba ataanzia tena Second Round as timu kama Pyramid, RS Berkane hawawezi kuwa top 2 kwenye ligi zao, na ukizingatia Afrika hatuna utaritibu wa kupeleka timu 4 Champions league kama ilivyo Ulaya, ingawa sheria inasema timu zinapaswa kuwa 68 katika kila season ya CCL.
Kwa hali hiyo Simba waanze kufanya scouting mapema ya kupata wachezaji bora ambao watacheza sio kutokana na motisha bali kwa uwezo wao.
Watu kama Bocco, Wawa, Bwalya, Lwanga, Nyoni etc wangetafutiwa mbadala wake katika kuboresha kikosi kazi.
Pia kwa upande wa Yanga na Azam waboreshe vikosi vyao ili angalau tupate timu 3 kwenye makundi iwe CCL au CCCL.
Kwa Yanga wanapaswa kutafuta mbadala wa Moloko, Yasin, Mwamnyeto, Makambo, Mauya, Ushindi nk.
Nimebahatika kuangalia mazoezi ya Timu kama Kaizer Chiefs nilipokuwa Afrika kusini, wenzetu wamewekeza haswa, uchawi upo kama ilivyo huku ila zaidi ni uwekezaji.
Huna unalolijua mzee.
Zamani makundi ndio iliitwa ROBO FAINALI.
Kulikuwa na makundi mawili tu. Kila kundi ni timu 4. Aina hii ya makundi imebadilshwa miaka mitano hii tu, ili kuleta Robo fainali yenye mfumo wa mtoano na sio makundi.
Hata 2003 Simba alikuwa Robo fainali kama hii akiwa kundi moja na Enyimba ya Nigeria.
Afrika tulikuwa na aina yetu ya kupanga mashindano yetu. Hata AFCON makundi yalikuwa machache zamani, na sasa umeona yanaongezwa ili kuleta ladha halisi.
Nyie mliojua mpira mara baada ya Azam kuanza kurusha ndio mnatuharibia uchambuzi sahihi wa mpira.
Ni kazi sana kutetea uwongo,mwenzio Manara aliosema huu uwongo wa kwenda straight kwenye round ya kwanza CL sasa hivi kapiga kimya kama siyo yeye.Mkuu hata ungejaza ukurasa mzima kwa comment ya kufafanua,hapa ni unapaka rangi upepo
Jinsi hawa watu waitwao waandishi wa habari bongo wanavyoshindwaga kuwa na follow up questions inafikirisha sana, siku ya kocha wa orlando pirates nilijua labda sababu ya english wakanyamaza kimya wakati maswali ya kumchapa kuhusu upupu alioongea yalikuwepo ya kutosha ila jana msukule albino unaongea utumbo majamaa makanjanja yanacheka tu yanafuurahi yenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.