Onyesha hiyo wanayoitumia wao kupanga nani anaanzia Raundi ipi.Sasa Caf wanaitumia hii hii list kama walivyoitumia mwaka huu kuianzisha simba round ya kwanza na wakubwa wenzake afrika, una swali jingine mr utopwinyo?
Si ndo hiyo hapo uliyopost wewe mkuu? Uko sahihi sana simba haiwezi kuwa ya 12 africa,kamwe haiwezekaniOnyesha hiyo wanayoitumia wao kupanga nani anaanzia Raundi ipi.
Huna unalolijua mzee.makanjanja nayo yanshangaliga kabisa robo fainali iliyochezwaga mechi 6
hivi mkuu ata kama tukiacha huu tunaoita utani wa jadi, hivi kabisa mtu mwenye Akili timamu anaweza kuleta club Ranking ambayo Hadi leo hii inaonesha kuwa hizi team ziko juu ya team kama Rs berkaneSi ndo hiyo hapo uliyopost wewe mkuu? Uko sahihi sana simba haiwezi kuwa ya 12 africa,kamwe haiwezekani
Kweli kabisa dah sasa nashangaa hapa majitu yasiyojua soccer yanambishia a person with albinism kwamba yanga hawataanzia round ya kwanza,watu wamenzia kujua soka juzi tu albino yuko sahihi kabisa na ndo msimamo wa young africansHuna unalolijua mzee.
Zamani makundi ndio iliitwa ROBO FAINALI.
Kulikuwa na makundi mawili tu. Kila kundi ni timu 4. Aina hii ya makundi imebadilshwa miaka mitano hii tu, ili kuleta Robo fainali yenye mfumo wa mtoano na sio makundi.
Hata 2003 Simba alikuwa Robo fainali kama hii akiwa kundi moja na Enyimba ya Nigeria.
Afrika tulikuwa na aina yetu ya kupanga mashindano yetu. Hata AFCON makundi yalikuwa machache zamani, na sasa umeona yanaongezwa ili kuleta ladha halisi.
Nyie mliojua mpira mara baada ya Azam kuanza kurusha ndio mnatuharibia uchambuzi sahihi wa mpira.
Ulitarajia nibishane na mtu wa hivyo,nime support ili kimfurahisha hao bidvest wako dissolved tangu 2016 mafanikio yao makubwa ninkumaliza wa tatu psl na kufika makundi afrika walipowatoaga azamhivi mkuu ata kama tukiacha huu tunaoita utani wa jadi, hivi kabisa mtu mwenye Akili timamu anaweza kuleta club Ranking ambayo Hadi leo hii inaonesha kuwa hizi team ziko juu ya team kama Rs berkane
Asante kotoko
Power dynamos
Plateau utd
Dolphins FC
Al merrick
Bidvest
Akwa utd
Highlanders
Enyimba
Motema pembe
Saint Eloi Lupopo
Djoliba AC
Kweli kuna gharama kubwa Sana za kuwa Mjinga kuliko kuwa mwelevu, unakuta huyu mtu ana watoto na wao wanatakiwa kuwa proud na Baba yao
Of course me nilikuelewa vizuri Sana, na njia ya kuongea na Mjinga ni kujifanya Mjinga zaidi yake Hadi ashangaeUlitarajia nibishane na mtu wa hivyo,nime support ili kimfurahisha hao bidvest wako dissolved tangu 2016 mafanikio yao makubwa ninkumaliza wa tatu psl na kufika makundi afrika walipowatoaga azam
Jana wamefurahi sana kuambiwa wanaanzia round ya kwanza sasa ukibisha unawaumiza nafsi zaoOf course me nilikuelewa vizuri Sana, na njia ya kuongea na Mjinga ni kujifanya Mjinga zaidi yake Hadi ashangae
ila hoja yangu ni kwamba mtu mwenye Akili timamu anawezaje kufanya/kusema hayo? Mbona binadamu tumeumbwa na aibu sana sasa inakujae mtu anasema ujinga na haoni aibu
Hiyo Simba yuko nafasi ya 12 mwaka gani mazee?? Hata 50 bora hiyo timu haipo.
Kielelezo hiko hapo.
View attachment 2193864View attachment 2193865View attachment 2193866View attachment 2193867View attachment 2193868
Ok, kwahiyo wanatumia assesment ya 5 years in a row ktk accumulation ya hizi point ambazo club imekusanya throug stages mbalimbali sio?View attachment 2194011
Hiyo ni kabla ya msimu wa 2021/2022 ambao Simba ameshakusanya point 4 mpaka sasa. Ukiongeza hapo unaenda nafasi ya 12.
Sisi Utopolo tumejitoa ufahamu kwamba zile point 28 sio za Simba Sc ni za nchi,yeyote anazitumia 🤣🤣🤣🤣Kuishabikia Yanga Inakupaswa Ujitoe Ufahamu
Ngoja Manara aendelee kujipopolea njiwa wake.Msiwaamshe wajinga waliolala ujingani na nyie msijegeuka kuwa wajinga.Sisi Utopolo tumejitoa ufahamu kwamba zile point 28 sio za Simba Sc ni za nchi,yeyote anazitumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kazi sana kutetea uwongo,mwenzio Manara aliosema huu uwongo wa kwenda straight kwenye round ya kwanza CL sasa hivi kapiga kimya kama siyo yeye.Mkuu hata ungejaza ukurasa mzima kwa comment ya kufafanua,hapa ni unapaka rangi upepoHuna unalolijua mzee.
Zamani makundi ndio iliitwa ROBO FAINALI.
Kulikuwa na makundi mawili tu. Kila kundi ni timu 4. Aina hii ya makundi imebadilshwa miaka mitano hii tu, ili kuleta Robo fainali yenye mfumo wa mtoano na sio makundi.
Hata 2003 Simba alikuwa Robo fainali kama hii akiwa kundi moja na Enyimba ya Nigeria.
Afrika tulikuwa na aina yetu ya kupanga mashindano yetu. Hata AFCON makundi yalikuwa machache zamani, na sasa umeona yanaongezwa ili kuleta ladha halisi.
Nyie mliojua mpira mara baada ya Azam kuanza kurusha ndio mnatuharibia uchambuzi sahihi wa mpira.
Jakya nani waandishi kiukweli wanmuogopa manara aisee!Jinsi hawa watu waitwao waandishi wa habari bongo wanavyoshindwaga kuwa na follow up questions inafikirisha sana, siku ya kocha wa orlando pirates nilijua labda sababu ya english wakanyamaza kimya wakati maswali ya kumchapa kuhusu upupu alioongea yalikuwepo ya kutosha ila jana msukule albino unaongea utumbo majamaa makanjanja yanacheka tu yanafuurahi yenyewe
Naamini bado ni walewale tu mpaka sasa. Kwani wamepungua au kuongezeka?My Take
Ikumbukwe kuwa Haji alishawahi kuwaita Yanga nzima haina akili isipokuwa Kikwete na Sunday Manara. Huu ni mwendelezo?
Unaushamba mwingi haaa haaa.Onyesha hiyo wanayoitumia wao kupanga nani anaanzia Raundi ipi.
List ya mchongo hii, timu inaitwa kuku iizidi simba?Hiyo Simba yuko nafasi ya 12 mwaka gani mazee?? Hata 50 bora hiyo timu haipo.
Kielelezo hiko hapo.
View attachment 2193864View attachment 2193865View attachment 2193866View attachment 2193867View attachment 2193868