kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna wakati unashindwa kuelewa kile wanachokifanya uongozi wa Yanga. Iko siku uongozi huu utaingia kwenye ugomvi mkubwa na wanachama na wadau wa Yanga.
Matukio ya hovyo mpaka sasa chini ya uongozi huu:
1. Kumpoteza Beno Kakolanya
2. Kufujuza mpambanaji Zehera
3. Kuwafukuza akina Balinya
4. Ugomvi na Molinga aliyekuwa anainusuru timu
5. Kufanya usajiri wa wachezaji bila ya matakwa na uwepo wa kocha Mkuu
6. Kumpoteza Morrison
7. Msimu kuanza bila ya jezi ya msimu
8. Kumfukuza Eymael katikati ya usajili
8. Kumfukuza Zlatic baada ya mechi aliyoshinda 3-0 na karibu ya mechi kubwa ya Simba na Yanga.
9. Sasa kuchagua manahodha bila uwepo wa kocha Mkuu kwenye club.
Kuchagua manahodha muda mfupi kabla ya kocha Mkuu kuwasili ni kumtafutia ubaya kocha anaekuja. Kwani nahodha ni lazima awe mtu anayependwa na kuaminiwa na kocha kutokana sababu na vigezo vya kocha mwenyewe.
Sina ugomvi na Lamine, lakini Lamine ni mchezaji ambaye alishawqhi kuikimbia Yanga hivi karibuni, sio mvumilivu, iko siku anaweza kuwashawishi wenzake watimke Kama malipo yatachelewa.
Kulikuwa na haraka gani kumsubiri kocha Mkuu aje ashiriki kumchagua nahodha? Utakuwa ugomvi miongoni mwa wachezaji kama kocha mpya atakuja kutengua maamuzi ya viongozi na kuchaguwa wa kwake.
Siku nyingine tusichague kiongozi wa club ambaye ni kocha pia.
Matukio ya hovyo mpaka sasa chini ya uongozi huu:
1. Kumpoteza Beno Kakolanya
2. Kufujuza mpambanaji Zehera
3. Kuwafukuza akina Balinya
4. Ugomvi na Molinga aliyekuwa anainusuru timu
5. Kufanya usajiri wa wachezaji bila ya matakwa na uwepo wa kocha Mkuu
6. Kumpoteza Morrison
7. Msimu kuanza bila ya jezi ya msimu
8. Kumfukuza Eymael katikati ya usajili
8. Kumfukuza Zlatic baada ya mechi aliyoshinda 3-0 na karibu ya mechi kubwa ya Simba na Yanga.
9. Sasa kuchagua manahodha bila uwepo wa kocha Mkuu kwenye club.
Kuchagua manahodha muda mfupi kabla ya kocha Mkuu kuwasili ni kumtafutia ubaya kocha anaekuja. Kwani nahodha ni lazima awe mtu anayependwa na kuaminiwa na kocha kutokana sababu na vigezo vya kocha mwenyewe.
Sina ugomvi na Lamine, lakini Lamine ni mchezaji ambaye alishawqhi kuikimbia Yanga hivi karibuni, sio mvumilivu, iko siku anaweza kuwashawishi wenzake watimke Kama malipo yatachelewa.
Kulikuwa na haraka gani kumsubiri kocha Mkuu aje ashiriki kumchagua nahodha? Utakuwa ugomvi miongoni mwa wachezaji kama kocha mpya atakuja kutengua maamuzi ya viongozi na kuchaguwa wa kwake.
Siku nyingine tusichague kiongozi wa club ambaye ni kocha pia.