MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Vipi Kuhusu Simba Yetu Mtabiri WetuWadau nichukue nafasi hii kuipongeza Klabu ya YANGA kucheza FAINAL ya Kombe la SHIRIKISHO mwaka huu 2023 ikiwa ni MIAKA 88 toka Klabu ianzishwe.MIAKA 88 sio Muda mtupu ni muda mrefu sana.Kuna Shabiki mmoja ametabiri kuwa LABDA itacheza Baada ya Miaka 10 lakini Mimi ninampinga sana.
Kutokana na UTARATIBU wa YANGA ni busara Klabu ya YANGA iwaambie MASHABIKI wake kuwa Itacheza tena FAINAL ijayo MWAKA 2111 hivyo Wajiandae kiroho na miwili na kiakili kuishangilia KLABU yao huo MWAKA 2111 kama Walivyofanya Mwaka huu 2023.View attachment 2646592
Naona nnaumia sana ninyi kengeMakundi ya Club Bingwa ni 10 years later
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu huoni aibu kuwa mjinga?
nahisi una tumbo la kuharaWadau nichukue nafasi hii kuipongeza Klabu ya Yanga kucheza Fainali ya Kombe la Shirikisho mwaka huu 2023 ikiwa ni miaka 88 toka Klabu ianzishwe. Miaka 88 sio muda mfupi ni muda mrefu sana.
Kuna Shabiki mmoja ametabiri kuwa labda itacheza baada ya miaka 10 lakini mimi ninampinga sana.
Kutokana na utaratibu wa Yanga ni busara Klabu ya Yanga iwaambie mashabiki wake kuwa itacheza tena fainali ijayo mwaka 2111, hivyo wajiandae kiroho, kimwili na kiakili kuishangilia klabu yao huo mwaka 2111 kama walivyofanya mwaka huu 2023.
View attachment 2646592
Rage apewe maua yakeMakundi ya Club Bingwa ni 10 years later
Kauli ya Rage bado inaishi.Rage apewe maua yake