Easyway
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 2,606
- 3,710
Klabu yetu inategemea kuanza mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu, kwa mujibu wa mwenyekiti Dr.Mshindo Msola mchakato unategemea kuanza may 2020.
Kimeandikwa kitabu kinachouzwa sh.5000, ili Wanachama wa Yanga wapate uelewa wa mambo yote yanayohusu uwekezaji na aina ya uwekezaji kwenye vilabu vya mpira wa miguu Duniani,maana ya hisa na aina za hisa, faida itakazopata klabu hiyo itakapokuwa imeingia kwenye uwekezaji,changamoto itakazokutana nazo klabu ya Yanga itakapoanza mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeahaji na namna ya kutatua changamoto hizo.
Wanachama,mashabiki na wapenzi wa klabu ya Yanga wanatakiwa waelewe kwa kina masuala hayo ili waweze kupokea mabadiliko kwa mikono miwili na pia ili wasiachwe nyuma kwenye mchakato mzima wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu yao.
Kitabu kinapatikana DSM mtaa wa Livingstone,kwenye kibanda Cha Mpesa kinachotizamana na duka la Dubai kitchen party.
Kwa mikoani kinatumwa ,0713925634.
Daima mbele nyuma mwiko.
Idumu Timu ya wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimeandikwa kitabu kinachouzwa sh.5000, ili Wanachama wa Yanga wapate uelewa wa mambo yote yanayohusu uwekezaji na aina ya uwekezaji kwenye vilabu vya mpira wa miguu Duniani,maana ya hisa na aina za hisa, faida itakazopata klabu hiyo itakapokuwa imeingia kwenye uwekezaji,changamoto itakazokutana nazo klabu ya Yanga itakapoanza mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeahaji na namna ya kutatua changamoto hizo.
Wanachama,mashabiki na wapenzi wa klabu ya Yanga wanatakiwa waelewe kwa kina masuala hayo ili waweze kupokea mabadiliko kwa mikono miwili na pia ili wasiachwe nyuma kwenye mchakato mzima wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu yao.
Kitabu kinapatikana DSM mtaa wa Livingstone,kwenye kibanda Cha Mpesa kinachotizamana na duka la Dubai kitchen party.
Kwa mikoani kinatumwa ,0713925634.
Daima mbele nyuma mwiko.
Idumu Timu ya wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app