Hamna kikosiKwasababu gani?
muwe na timuIli tuwe na kikosi tufanyeje?
Wewe uliekuwa na timu umefika wapi msimu huu?muwe na timu
Japo nimefika level ambazo nyinyi hamjawahi kuzifikia ila siwezi nika declare kuwa boraWewe uliekuwa na timu umefika wapi msimu huu?
Nusu fainali klabu bingwa Afrika hawaendi vipofu kama ninyi. Ninyi mpira wenu ni wa hapahapa tu bongo .Mashabiki wa Yanga uzi huu ni kwaajili ya kutoa maoni na mapendekezo ya namna ya usajili kwenye maeneo yenye mapungufu ili kuifanya Yanga iwe imara zaidi ili kwenye klabu bingwa ifanye vizuri kwa kucheza nusu fainali ya CAF champions league. Taja maeneo ambayo yanahitaji maboresho, bibafsi naanza na sehemu ya striker, Makambo hatufai anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa wa kumzidi Mayele ili kule mbele kuwe hatari zaidi. Wewe je?
isiwe kama yanga ilivyoIli iwe timu inatakiwa iweje?
Hizo ni akili za kimasikini sana,wewe huwezi kumiliki pesa maisha yako yote.Yanga kucheza nusu fainali CAF champion league hiyo ni nightmare
Hao wanaocheza nusu fainali vikosi vinashushwa toka mbinguni?Hamna kikosi
Nini maana ya timu?muwe na timu
Baada ya kuona juhudi na maarifa vimekosekana kwenye kikosi cha yanga ndio maana nimekuja na comment hiyoHizo ni akili za kimasikini sana,wewe huwezi kumiliki pesa maisha yako yote.
Maana unaona kucheza nusu fainali kunashushwa tu kutoka mbinguni na siyo juhudi na maarifa.
Kweli kabisa hawa watu kazi wanazojua ni kukosakosa magoli tuPiga chini Moloko.Makambo.Ushindi na yacoubson Tafuta wenye uwezo zaidi yao
Fanye i usajili wa maanaIli tuwe na kikosi tufanyeje?
Kwanini unawataja wao kama mfano, kwanini usijitaje wewe kama reference?Hao wanaocheza nusu fainali vikosi vinashushwa toka mbinguni?